Hello,
Wanawake ni sisi na basi tusaidiane. Nimepata email kutoka kwa mfuatiliaji mzuri tu wa blog hii. Anahitaji msaada wetu. Na sisi kama wanawake why tumtenge.. Kama unaweza kumsaidia in any way please feel free kufanya hivyo. Ila marufuku kutukana.
Jina - Ndeschy Brown
Birthdate - July
Sex: Female
Profession: Social Scientist (child protection specialist)
Anahitaji: Bwana.. Awe na miaka 45 hadi 55. Awe Single, widowed au seniour bachelor. Asiwe divorced. Watoto au la rukhsa.
Financial status iwe poa - kuanzia kipato cha kawaida.
Kama unakidhi vigezo hapo juu wasiliana naye kupitia ndeschy@yahoo.com
have a lovely day
xoxo
Thursday, September 8, 2011
Wednesday, September 7, 2011
Wanawake Na Sarakasi
Hello,
Hii nilitaka kuandika jana but duu time is not on my side! Nisamehe bure.. :(
I have very many male friends and hua napenda sana kuwauliza silly questions but majibu wanayonipa napata kujua a lot. A good example ni juzi tu niliwauliza about wanawake wanaoweza kufanya sarakasi wanakuwaje kwenye relationship? Hehehhehe.. Yeah I can be that challenging. Walinijibu "Duuuu... Hua ni poa sana kwa sababu wanaweza "styles" nyingi nyingi tu" Nikachoka kabsaaaa...
Mfano mzuri ni juzi hapa mwanamichezo Serena Williams alipopiga bonge la msamba wakati akicheza tennis. Wanaume went crazy!
Jaribu kuuliza any man uliye karibu naye qualities wanazoangalia in a woman - kwa wengi "Flexibility" itatajwa! Kwa hiyo flexibility ndo ina maana kuwa someone is good in bed? Kwa hiyo wanawake wote tukafanye au kufunzwa sarakasi? Heheheheeee...
Anyway eti wee unaweza kupiga msamba tena wa ukweli kama Serena? And hiyo itapelekea men to want you or wapate uchizi about you?
Its just a thought...
xoxo
have a good day...
Hii nilitaka kuandika jana but duu time is not on my side! Nisamehe bure.. :(
I have very many male friends and hua napenda sana kuwauliza silly questions but majibu wanayonipa napata kujua a lot. A good example ni juzi tu niliwauliza about wanawake wanaoweza kufanya sarakasi wanakuwaje kwenye relationship? Hehehhehe.. Yeah I can be that challenging. Walinijibu "Duuuu... Hua ni poa sana kwa sababu wanaweza "styles" nyingi nyingi tu" Nikachoka kabsaaaa...
Mfano mzuri ni juzi hapa mwanamichezo Serena Williams alipopiga bonge la msamba wakati akicheza tennis. Wanaume went crazy!
Anyway eti wee unaweza kupiga msamba tena wa ukweli kama Serena? And hiyo itapelekea men to want you or wapate uchizi about you?
Its just a thought...
xoxo
have a good day...
Monday, September 5, 2011
Wakati wa Kuwatch Movies...
Hello..
Weekend iliendaje? Umebaki na any money kwenye wallet yako? Manake ukijumuisha na Eid Mosi na Pili tulikua na siku 4 za kupumzika last week...Starehe Gharama!!! Unabisha? Hehehehhe.. poleee...
Personally hizo siku mie nilijifungia ndani and was busy watching movies... Sometimes nilikua naangalia on my own, sometimes na friends waliokuja kuni visit... Nikashtuka and I realised kuna watu wa aina flani flani - niwe nawatenga when watching movies! Looh!!!!
Kuna mtu alinikera sana - Nilikua naangalia movie sijawahi iona, na yeye pia hajaiona. Sasa after 20 mins za movie akaanza kusema - "Aaah nishajua hii movie inakoelekea, yaani nishajua hadi mwisho wake" Na akataka kabsa to explain to me how it will be. I was soo pissed off! Nikamwambia mi staki kujua itaishaje I want to see it on my own!
Kuna mwingine tunaangalia movie anasema " Duuu! Umeona hiyo, yaani hapo that guy meant kuwa.. bla bla bla.." Eti anani explainia as though mi sjaelewa kitu. So unajikuta you dont even concentrate! Nilinunaje!
Mwingine naye kumbe alikua keshaiona - ana insist kunambia how it will be na kuendelea kunambia what movie critics walisema about the movie! Jamani ni kuwa mimi im too petty au na wee pia hivi vitu hukukera? jamaniiiii!!!
I want to watch a movie nisikilize na kuwatch kila kitu bila kukosa anything. Sasa mtu kukusumbua sumbua mwingine akuombe u rewind mara u forward eti hapo hainogi hadi mbele kidogo ndo nini? Si wanantaka ubaya tu! I bought the movie, i deserve to watch it mwenyewe hadi niridhike..
Nimejifunza! Never again me nta watch movie na mtu.. Nimekoma!!!!
Na wee niambie ni vitu gani vinaku bore when your watching a movie na watu?
xoxo
have a lovely day
Weekend iliendaje? Umebaki na any money kwenye wallet yako? Manake ukijumuisha na Eid Mosi na Pili tulikua na siku 4 za kupumzika last week...Starehe Gharama!!! Unabisha? Hehehehhe.. poleee...
Personally hizo siku mie nilijifungia ndani and was busy watching movies... Sometimes nilikua naangalia on my own, sometimes na friends waliokuja kuni visit... Nikashtuka and I realised kuna watu wa aina flani flani - niwe nawatenga when watching movies! Looh!!!!
Kuna mtu alinikera sana - Nilikua naangalia movie sijawahi iona, na yeye pia hajaiona. Sasa after 20 mins za movie akaanza kusema - "Aaah nishajua hii movie inakoelekea, yaani nishajua hadi mwisho wake" Na akataka kabsa to explain to me how it will be. I was soo pissed off! Nikamwambia mi staki kujua itaishaje I want to see it on my own!
Kuna mwingine tunaangalia movie anasema " Duuu! Umeona hiyo, yaani hapo that guy meant kuwa.. bla bla bla.." Eti anani explainia as though mi sjaelewa kitu. So unajikuta you dont even concentrate! Nilinunaje!
Mwingine naye kumbe alikua keshaiona - ana insist kunambia how it will be na kuendelea kunambia what movie critics walisema about the movie! Jamani ni kuwa mimi im too petty au na wee pia hivi vitu hukukera? jamaniiiii!!!
I want to watch a movie nisikilize na kuwatch kila kitu bila kukosa anything. Sasa mtu kukusumbua sumbua mwingine akuombe u rewind mara u forward eti hapo hainogi hadi mbele kidogo ndo nini? Si wanantaka ubaya tu! I bought the movie, i deserve to watch it mwenyewe hadi niridhike..
Nimejifunza! Never again me nta watch movie na mtu.. Nimekoma!!!!
Na wee niambie ni vitu gani vinaku bore when your watching a movie na watu?
xoxo
have a lovely day
Friday, September 2, 2011
Relationships (Part 1)
Heeeey...
Nimekua kimya sana.. Nisamehe bure for that... Im not married na wala siko kwenye relationship - for now.. Nimeamua kuwa mwenyewe for a while, Coz wanasema - Ujipende wewe kwanza na kujikubali then mengine yatafuata. Labda nilichelewa kupata this advice but i think it's due time mimi kuifuata advice and soo far soo good.
I have friends - girl frieinds walishawahi kuwa kwenye mahusiano very serious and some hata marriage, ila most walishindwa and wakaamua kuomba divorce. Ukiwauliza why - well... very long story.. Wengine walikua wanapigwa na their ex husbands, wengine wanadharauliwa, wengine waume wanalewa sana, wengine "vicheche"!!! Anyway kuna mtu nilikua naongea naye akawa anasema - jamaniii mwenza wako sio ndugu yako... At least utavumilia tabia za nduguyo coz u were born together and mumekua wote umemsoma poa na utaweza kuvumilia. But mtu umekuja kukutana naye ukiwa mkubwa utaweza vumilia kweli? You need to have a very strong heart and uvumilivu wa hali wa juu kuweza kuishi na mtu.
Niliongea pia na mdada mmoja juzi tu akaniambia dadake kadumu in her marriage for 30 good years. I was impressed! Ila akasema ujue ndoa au tuseme mume ni kama biashara mpya. Ukianzisha a new business (lets say ya kununua nguo na mapochi Dubai and kuuza Dar) sio zote huanza vizuri. Most of them zinapata matatizo kama mzigo kupotea, wateja kukataa kulipa, mzigo kudoda etc etc. U have to work extra hard kufikisha Business yako katika a good level ambapo itaweza kujisamia yenyewe na kulipa wafanyakazi pamoja na wewe kupata profit.
Before you get into a relationship ina maana ujipange hasahasa. sio tu kuingia for the sake of wewe pia kutambuliwa una boyfriend! Kwani wasokua nao hufa of loneliness? Ndo hapo unaishia kujikuta ur in a relationship isiyo na kichwa wala miguu ambayo hata hakieleweki inakoelekea. Which itapelekea ndoa ambayo ipo ipo tu. Maybe hata hukumpenda huyo bwana, haya ndo hivyo ushakua mke wake, unakuta Mungu wangu! ana vitabia vya ajabu! Labda anakoroma usiku kucha, ana tabia ya kutema tema mate, kusafisha koo kila wakati, kushika mbele, kuchokora pua, kujamba jamba ( hahahahah )! Kwa vile hujazoea vitu hivi si ndo unaanza kuongea na your girls ukiwaambia "taabu" unazopata kwenye ndoa yako! Ukiondoka wanakuchora wanakuchekaaaaaa! "Si aliingia kichwa kichwa kwenye ndoa" Utawaskia wanaongea!
Anyway, hizi ni views zangu tu. Nikijaribu kufanya kaji reearch ka why we have soooo many divorces in our jamii siku hizi.
Jumatatu I'll tell you more manake weekend hii ntaendelea na kiji research kangu. Ila nawe kama una maoni au unajua, kindly let me know... drop me an email au hata sms.. +255 795 008500
And just for laughs.... here you go...
have a lovely weekend,
xoxo
Nimekua kimya sana.. Nisamehe bure for that... Im not married na wala siko kwenye relationship - for now.. Nimeamua kuwa mwenyewe for a while, Coz wanasema - Ujipende wewe kwanza na kujikubali then mengine yatafuata. Labda nilichelewa kupata this advice but i think it's due time mimi kuifuata advice and soo far soo good.
I have friends - girl frieinds walishawahi kuwa kwenye mahusiano very serious and some hata marriage, ila most walishindwa and wakaamua kuomba divorce. Ukiwauliza why - well... very long story.. Wengine walikua wanapigwa na their ex husbands, wengine wanadharauliwa, wengine waume wanalewa sana, wengine "vicheche"!!! Anyway kuna mtu nilikua naongea naye akawa anasema - jamaniii mwenza wako sio ndugu yako... At least utavumilia tabia za nduguyo coz u were born together and mumekua wote umemsoma poa na utaweza kuvumilia. But mtu umekuja kukutana naye ukiwa mkubwa utaweza vumilia kweli? You need to have a very strong heart and uvumilivu wa hali wa juu kuweza kuishi na mtu.
Niliongea pia na mdada mmoja juzi tu akaniambia dadake kadumu in her marriage for 30 good years. I was impressed! Ila akasema ujue ndoa au tuseme mume ni kama biashara mpya. Ukianzisha a new business (lets say ya kununua nguo na mapochi Dubai and kuuza Dar) sio zote huanza vizuri. Most of them zinapata matatizo kama mzigo kupotea, wateja kukataa kulipa, mzigo kudoda etc etc. U have to work extra hard kufikisha Business yako katika a good level ambapo itaweza kujisamia yenyewe na kulipa wafanyakazi pamoja na wewe kupata profit.
Before you get into a relationship ina maana ujipange hasahasa. sio tu kuingia for the sake of wewe pia kutambuliwa una boyfriend! Kwani wasokua nao hufa of loneliness? Ndo hapo unaishia kujikuta ur in a relationship isiyo na kichwa wala miguu ambayo hata hakieleweki inakoelekea. Which itapelekea ndoa ambayo ipo ipo tu. Maybe hata hukumpenda huyo bwana, haya ndo hivyo ushakua mke wake, unakuta Mungu wangu! ana vitabia vya ajabu! Labda anakoroma usiku kucha, ana tabia ya kutema tema mate, kusafisha koo kila wakati, kushika mbele, kuchokora pua, kujamba jamba ( hahahahah )! Kwa vile hujazoea vitu hivi si ndo unaanza kuongea na your girls ukiwaambia "taabu" unazopata kwenye ndoa yako! Ukiondoka wanakuchora wanakuchekaaaaaa! "Si aliingia kichwa kichwa kwenye ndoa" Utawaskia wanaongea!
Anyway, hizi ni views zangu tu. Nikijaribu kufanya kaji reearch ka why we have soooo many divorces in our jamii siku hizi.
Jumatatu I'll tell you more manake weekend hii ntaendelea na kiji research kangu. Ila nawe kama una maoni au unajua, kindly let me know... drop me an email au hata sms.. +255 795 008500
And just for laughs.... here you go...
have a lovely weekend,
xoxo
Thursday, August 25, 2011
Wanawake in war countries...
Hello,
Hua kukiwa na vita katika nchi yoyote wanaoumia more na kupoteza maisha ni women and children, we all know that. Na ni kwa vile group hizi 2 ndo zilizo more vulnerable na kutoweza kujitetea at all. Mwanaume wether awe na mwili wa miraba minne, obese au mwembamba have a way ya ku survive. Kama atakimbia au kupambana.
Some time back kuna website iliandika - after a research nchi 10 mbaya zaidi kwa wanawake. Sawa, Tanzania haipo, ila looohh huruma sana what wanawake wenzetu wanavyopitia. ntaorodhesha below excerpt kutoka kwenye hiyo website. Ambayo ilinifanya nimshukuru Mungu kua kwenye nchi iliyo na amani.
Democratic Republic of Congo: In the eastern DRC, a war that claimed more than 3 million lives has ignited again, with women on the front line. Rapes are so brutal and systematic that UN investigators have called them unprecedented. Many victims die; others are infected with HIV and left to look after children alone. Foraging for food and water exposes women to yet more violence. Without money, transport or connections, they have no way of escape.
Iraq: The U.S.-led invasion to "liberate" Iraq from Saddam Hussein has imprisoned women in an inferno of sectarian violence that targets women and girls. The literacy rate, once the highest in the Arab world, is now among the lowest as families fear risking kidnapping and rape by sending girls to school. Women who once went out to work stay home. Meanwhile, more than 1 million women have been displaced from their homes, and millions more are unable to earn enough to eat.
Nepal: Early marriage and childbirth exhaust the country's malnourished women, and one in 24 will die in pregnancy or childbirth. Daughters who aren't married off may be sold to traffickers before they reach their teens. Widows face extreme abuse and discrimination if they're labelled bokshi, meaning witches. A low-level civil war between government and Maoist rebels has forced rural women into guerrilla groups.
Sudan: While Sudanese women have made strides under reformed laws, the plight of those in Darfur, in western Sudan, has worsened. Abduction, rape or forced displacement have destroyed more than 1 million women's lives since 2003. The janjaweed militias have used systematic rape as a demographic weapon, but access to justice is almost impossible for the female victims of violence.
Guatemala: The impoverished female underclass of Guatemala faces domestic violence, rape and the second-highest rate of HIV/AIDS after sub-Saharan Africa. An epidemic of gruesome unsolved murders has left hundreds of women dead, some of their bodies left with hate messages.
Mali: One of the world's poorest countries, few women escape the torture of genital mutilation, many are forced into early marriages, and one in 10 dies in pregnancy or childbirth.
Pakistan: In the tribal border areas of Pakistan women are gang-raped as punishment for men's crimes. But honour killing is more widespread, and a renewed wave of religious extremism is targeting female politicians, human rights workers and lawyers.
Saudi Arabia: Women in Saudi Arabia are treated as lifelong dependents, under the guardianship of a male relative. Deprived of the right to drive a car or mix with men publicly, they are confined to strictly segregated lives on pain of severe punishment.
Somalia: In the Somali capital, Mogadishu, a vicious civil war has put women, who were the traditional mainstay of the family, under attack. In a society that has broken down, women are exposed daily to rape, dangerously poor health care for pregnancy, and attack by armed gangs.
"While the potential of women is recognized at the international level," says World Health Organization director-general Margaret Chan, "this potential will not be realized until conditions improve – often dramatically – in countries and communities. Too many complex factors, often rooted in social and cultural norms, continue to hinder the ability of women and girls to achieve their potential and benefit from social advances."
Sijui niseme nini, but all these made me cry, lakini kulia hakusaidii anything. What can we do about it?
It begins with you.... Kama una wazo lolote feel free kuchangia na tusaidiane in this...
Much love
xoxo
Hua kukiwa na vita katika nchi yoyote wanaoumia more na kupoteza maisha ni women and children, we all know that. Na ni kwa vile group hizi 2 ndo zilizo more vulnerable na kutoweza kujitetea at all. Mwanaume wether awe na mwili wa miraba minne, obese au mwembamba have a way ya ku survive. Kama atakimbia au kupambana.
Some time back kuna website iliandika - after a research nchi 10 mbaya zaidi kwa wanawake. Sawa, Tanzania haipo, ila looohh huruma sana what wanawake wenzetu wanavyopitia. ntaorodhesha below excerpt kutoka kwenye hiyo website. Ambayo ilinifanya nimshukuru Mungu kua kwenye nchi iliyo na amani.
The Ten Worst Countries for Women Today
Afghanistan: The average Afghan girl will live to only 45 – one year less than an Afghan male. After three decades of war and religion-based repression, an overwhelming number of women are illiterate. More than half of all brides are under 16, and one woman dies in childbirth every half hour. Domestic violence is so common that 87 per cent of women admit to experiencing it. But more than one million widows are on the streets, often forced into prostitution. Afghanistan is the only country in which the female suicide rate is higher than that of males.Democratic Republic of Congo: In the eastern DRC, a war that claimed more than 3 million lives has ignited again, with women on the front line. Rapes are so brutal and systematic that UN investigators have called them unprecedented. Many victims die; others are infected with HIV and left to look after children alone. Foraging for food and water exposes women to yet more violence. Without money, transport or connections, they have no way of escape.
Iraq: The U.S.-led invasion to "liberate" Iraq from Saddam Hussein has imprisoned women in an inferno of sectarian violence that targets women and girls. The literacy rate, once the highest in the Arab world, is now among the lowest as families fear risking kidnapping and rape by sending girls to school. Women who once went out to work stay home. Meanwhile, more than 1 million women have been displaced from their homes, and millions more are unable to earn enough to eat.
Nepal: Early marriage and childbirth exhaust the country's malnourished women, and one in 24 will die in pregnancy or childbirth. Daughters who aren't married off may be sold to traffickers before they reach their teens. Widows face extreme abuse and discrimination if they're labelled bokshi, meaning witches. A low-level civil war between government and Maoist rebels has forced rural women into guerrilla groups.
Sudan: While Sudanese women have made strides under reformed laws, the plight of those in Darfur, in western Sudan, has worsened. Abduction, rape or forced displacement have destroyed more than 1 million women's lives since 2003. The janjaweed militias have used systematic rape as a demographic weapon, but access to justice is almost impossible for the female victims of violence.
Guatemala: The impoverished female underclass of Guatemala faces domestic violence, rape and the second-highest rate of HIV/AIDS after sub-Saharan Africa. An epidemic of gruesome unsolved murders has left hundreds of women dead, some of their bodies left with hate messages.
Mali: One of the world's poorest countries, few women escape the torture of genital mutilation, many are forced into early marriages, and one in 10 dies in pregnancy or childbirth.
Pakistan: In the tribal border areas of Pakistan women are gang-raped as punishment for men's crimes. But honour killing is more widespread, and a renewed wave of religious extremism is targeting female politicians, human rights workers and lawyers.
Saudi Arabia: Women in Saudi Arabia are treated as lifelong dependents, under the guardianship of a male relative. Deprived of the right to drive a car or mix with men publicly, they are confined to strictly segregated lives on pain of severe punishment.
Somalia: In the Somali capital, Mogadishu, a vicious civil war has put women, who were the traditional mainstay of the family, under attack. In a society that has broken down, women are exposed daily to rape, dangerously poor health care for pregnancy, and attack by armed gangs.
"While the potential of women is recognized at the international level," says World Health Organization director-general Margaret Chan, "this potential will not be realized until conditions improve – often dramatically – in countries and communities. Too many complex factors, often rooted in social and cultural norms, continue to hinder the ability of women and girls to achieve their potential and benefit from social advances."
Sijui niseme nini, but all these made me cry, lakini kulia hakusaidii anything. What can we do about it?
It begins with you.... Kama una wazo lolote feel free kuchangia na tusaidiane in this...
Much love
xoxo
Wednesday, August 24, 2011
Songs That have seen us through mambo mbali mbali...
Hello,
Mzima jamani? Wakati we are growing up - as women - kuna mambo kibao hua tunapitia. Love - of coz, Heart Break.. ( This goes hand in hand with love - in a bitter kinda way ), Matumaini ( hii ni baada ya heart break ), When we feel spiritual ( ukaribu na Muumba wetu ), Loss of mtu wa karibu nasi ( Parents, friends etc.. ), When una hasira na kadhalika.. I think the above ndo tumepitia mara nyingi zaidi. Au wewe labda ulipitia zaidi ya those? U can help me list them down..
Anyway, One of the things vilivyonisaidia mie binafsi to go through these times ni NYIMBO. I'm on of those people who had and still nina nyimbo for each occassion. So kwa wale walio close to me - wakiskia tu nikicheza a certain song - either home, through my simu au sometime on radio ( don't tell anyone ) - wanajua huyuu duu leo she's very happy or sad or whatever..
Some of the songs na wasanii walionisaidia mimi kupitia different "emotions" (allow me to call them hivyo) ni pamoja na Toni Braxton - album ya Toni Braxton, Secrets na The heat ... When i was in love kwa mara ya kwanza - uuuwwiii - You Mean The World To Me ya Toni Braxton - and Whitney Houston - I'll Always Love you, Faith Evans - Love Like This and I'll Never Let you Go - almanusura zigome. Hearbreak zangu - How Could An Angel Break My Heart ya Toni Braxton, Kelis - I hate you so much right now, Usher Raymond - Separated, Lauryn Hill - Ex-Factor, Heart Break Hotel - Whitney Houston... ( oohh the memories ) .. When is happy - Whitney Houston - aaaah i wanna dance with somebody. I wanna feel the heat with somebody.. (mwenzangu...) .. And When i lost my mum, Wimbo wangu ulikua - Kifo Hakina Huruma - Remmy Ongala and then I heard Khadja Nin - Sambolera ( sauti yake inanifanya nilie but also gives me hope) and DMX and Faith Evans - I Miss You...
Kuna albums ambazo weirdly enough zilikua zina a song for every occassion... Usher Raymond - 8701, Toni Braxton - The Heat, Secrets, Toni Braxton, Whitney Houston - My Love is Your Love, Celine Dion - All The Way, etc etc
Kumbuka hapo sijataja nikiwa na mood ya ku -party! hehehhe.. The list is endless... Anyway I'm sure wewe pia you have nyimbo, wasanii na album that saw you through kila ulichopitia. Sio mbaya tukakumbushana.. Name some..
Have a lovely lovely day,
xoxo
Mzima jamani? Wakati we are growing up - as women - kuna mambo kibao hua tunapitia. Love - of coz, Heart Break.. ( This goes hand in hand with love - in a bitter kinda way ), Matumaini ( hii ni baada ya heart break ), When we feel spiritual ( ukaribu na Muumba wetu ), Loss of mtu wa karibu nasi ( Parents, friends etc.. ), When una hasira na kadhalika.. I think the above ndo tumepitia mara nyingi zaidi. Au wewe labda ulipitia zaidi ya those? U can help me list them down..
Anyway, One of the things vilivyonisaidia mie binafsi to go through these times ni NYIMBO. I'm on of those people who had and still nina nyimbo for each occassion. So kwa wale walio close to me - wakiskia tu nikicheza a certain song - either home, through my simu au sometime on radio ( don't tell anyone ) - wanajua huyuu duu leo she's very happy or sad or whatever..
Some of the songs na wasanii walionisaidia mimi kupitia different "emotions" (allow me to call them hivyo) ni pamoja na Toni Braxton - album ya Toni Braxton, Secrets na The heat ... When i was in love kwa mara ya kwanza - uuuwwiii - You Mean The World To Me ya Toni Braxton - and Whitney Houston - I'll Always Love you, Faith Evans - Love Like This and I'll Never Let you Go - almanusura zigome. Hearbreak zangu - How Could An Angel Break My Heart ya Toni Braxton, Kelis - I hate you so much right now, Usher Raymond - Separated, Lauryn Hill - Ex-Factor, Heart Break Hotel - Whitney Houston... ( oohh the memories ) .. When is happy - Whitney Houston - aaaah i wanna dance with somebody. I wanna feel the heat with somebody.. (mwenzangu...) .. And When i lost my mum, Wimbo wangu ulikua - Kifo Hakina Huruma - Remmy Ongala and then I heard Khadja Nin - Sambolera ( sauti yake inanifanya nilie but also gives me hope) and DMX and Faith Evans - I Miss You...
Kuna albums ambazo weirdly enough zilikua zina a song for every occassion... Usher Raymond - 8701, Toni Braxton - The Heat, Secrets, Toni Braxton, Whitney Houston - My Love is Your Love, Celine Dion - All The Way, etc etc
Kumbuka hapo sijataja nikiwa na mood ya ku -party! hehehhe.. The list is endless... Anyway I'm sure wewe pia you have nyimbo, wasanii na album that saw you through kila ulichopitia. Sio mbaya tukakumbushana.. Name some..
Have a lovely lovely day,
xoxo
Tuesday, August 23, 2011
Leo Nakupa Siri....
Hello,
Kwema? As a woman outlook hua ni muhimu sana tu, despite wao kusema kua Inner beauty ni muhimu zaidi.. Vaa matambara kisha tuone hiyo inner beauty kama itaonekana.. Im just being honest hapa... Heheheh..
Anyway kuna a friend of mine anaitwa Rehema Ngamilo, I've known her for years... Rehema started bringing bidhaa za wanawake from states a few years back,, kiutani utani tu. Mapochi, shoes, clothes na accessories. Nili notice one thing from vitu alivyokua analeta - uniqueness.. Vitu anavyoleta - stand out.. I buy my stuff kwenye duka lake linaitwa Navo's Choice
Duka lipo Mikocheni Tanesco karibu na Barclays Bank... Something else i love about Navo's Choice ni prices..
Pia Rehema wa Navo's Choice anastukiaga new colours mapemaaaa.. I remember nilinunua a dinner dress ya "Green" mwaka juzi - This year ndo i found out kua thats not green its "Teal"... ahahahahh! Ushambaaaaa!!!
Kwa mfano right now Jeans dresses zimerudi - si nilizikuta pale - bila hili wala lile sikuzitilia maanani.. After 4 days nikaona kwa http://www.8020fashions.blogspot.com/ kua jeans dresses are back.. Nikirudi Navo's Choice nakuta wenye akili walishakwapua! Loh!
Kuna jambo ambalo husababisha many women kushonesha au kununua nguo za mtumba... Kutofanana kwa mishono.. Just so you know Navo's Choice wakileta nguo za kufanana sio zaidi ya 2 and zinakua different sizes! If you think about it hadi ukutane na huyo mwingine who bought the same exact dress or pair of shoe as you... mmmmhhh... Might not happen..
Na shoes pia.... Anyway, Drop by Navo's Choice hapo Mikocheni Tanesco pale kuna maduka mengi mengi karibu na Barclays Bank... And chek it out.. Kwa information zaidi wasiliana nami....
Clutches, bangles, pete.. ooh Na shades za Jessica Simpson..
Wanasema - Vizuri Kula na Wenzio... Hehhehehehehhe. I did my part - will you do yours?
Have a lovely day,
xoxo
Kwema? As a woman outlook hua ni muhimu sana tu, despite wao kusema kua Inner beauty ni muhimu zaidi.. Vaa matambara kisha tuone hiyo inner beauty kama itaonekana.. Im just being honest hapa... Heheheh..
Anyway kuna a friend of mine anaitwa Rehema Ngamilo, I've known her for years... Rehema started bringing bidhaa za wanawake from states a few years back,, kiutani utani tu. Mapochi, shoes, clothes na accessories. Nili notice one thing from vitu alivyokua analeta - uniqueness.. Vitu anavyoleta - stand out.. I buy my stuff kwenye duka lake linaitwa Navo's Choice
Duka lipo Mikocheni Tanesco karibu na Barclays Bank... Something else i love about Navo's Choice ni prices..
And this shop has kila aina ya nguo that us women need in our daily lives - from casuals, official (suits included), Dinner dresses etc.....
Pia Rehema wa Navo's Choice anastukiaga new colours mapemaaaa.. I remember nilinunua a dinner dress ya "Green" mwaka juzi - This year ndo i found out kua thats not green its "Teal"... ahahahahh! Ushambaaaaa!!!
Kwa mfano right now Jeans dresses zimerudi - si nilizikuta pale - bila hili wala lile sikuzitilia maanani.. After 4 days nikaona kwa http://www.8020fashions.blogspot.com/ kua jeans dresses are back.. Nikirudi Navo's Choice nakuta wenye akili walishakwapua! Loh!
Kuna jambo ambalo husababisha many women kushonesha au kununua nguo za mtumba... Kutofanana kwa mishono.. Just so you know Navo's Choice wakileta nguo za kufanana sio zaidi ya 2 and zinakua different sizes! If you think about it hadi ukutane na huyo mwingine who bought the same exact dress or pair of shoe as you... mmmmhhh... Might not happen..
Clutches, bangles, pete.. ooh Na shades za Jessica Simpson..
Wanasema - Vizuri Kula na Wenzio... Hehhehehehehhe. I did my part - will you do yours?
Have a lovely day,
xoxo
Subscribe to:
Posts (Atom)






