Kofii Olomide na Mwimbaji Cindy wakiimba huku wakiwa amezungukwa na wanenguaji wake
Mwanamuziki Kofii Olomide akipanda jukwaani huku akisinddikizwa na waimbaji wake.
Cindy
katikati Mwimbaji mahili wa kike wa mwanamuziki Kofii Olomide akiimba
jukwaani kalba ya Kofii Olomide mwenyewe kupanda jukwaani.
Kazi iko hapa kama wanavyoonekana wanenguaji hao wakicheza kwa sataili ya aina yake.
Hii ilichezwa kwa kwenda mbele na kurudi nyuma huku wakiwa wameshikana.
Palikuwa hapatoshi kwa shoo kabambe kabisa kutoka kwa wanenguaji wa Kofii Olomide.
Ili mradi burudani iliyopangika kutoka kwa wanenguaji hao
Staili hiyo ilichezwa kwa hisia pia
Kutoka
kulia ni Ephraim Mafuru Mkurugenzi wa Masoko wa (SBL), Anitha Msangi
Maurice Njowoka na Patrick Kisaka kutoka kampuni ya bia ya Serengeti
wakishoo love kwa picha.
Mkurugenzi
wa Masoko wa Kampuni ya bia ya Serengeti Ephraim Mafuru kulia na
Mkurugenzi wa Clouds Media Group Joseph Kusaga wakiwa katika picha ya
pamoja
Wadau kutoka Miss Tanzania wakiwa katika onesho hilo.
Rachel wa THT akicheza na mmoja wa wanenguaji wa mwanamuziki Kofii Olomide.
Kofii Olomide akimpongeza msanii Rachel wa THT baada ya kuonyesha uwezo wake katika kuimba kwenye onesho hilo.
Waimbaji wa mwanamuziki Kofii Olomide wakiimba kwa hisia katika enesho hilo.
Rapa wa mwanamuziki Kofii Olomide anayejulikana kwa jina la Computar akighani huku wanenguaji wa kiume wakiingia jukwaani.
Jukwaani ni Recho wa kundi la THT kutoka jijini Dar es salaam akinendelea kutoa burudani jukwaani
H.
Baba akifanya vitu vyake mbele ya mashabiki wa jijini Mwanza wakati
akitoa burudani ya utangulizi kabla ya mwanamuziki Kofii Olomide Kupanda
jukwaani.
Pepe Kale wa Mwanza naye akafanya mambo makubwa na kukubalika na umati wa mashabiki waliohudhuria katika onesho hilo.
Wasanii wa Kundi la THT wakitumbuiza katika onesho hilo.
Bendi ya Hill Way ya Mwanza ikitumbuiza katika utangulizi
Kundi
la Hill Way Band likifanya vitu vyake jukwaani katika utangulizi wa
burudani za tamasha la Tusker Carnival kabla ya mwanamuziki Kofii
Olomide kupanda jukwaani.
Mashabiki wakiwa wameanza kumiminika kwenye uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza.
Mashabiki wakiwa kwenye uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza wakisubiri kuona burudani ya Kofii Olomide.
Haya
ni maeneo maalum yaliyotengwa kwa ajili ya kujipatia bia yako ya Tusker
Lager na vinywaji vingine vinavyotengenezwa na Kampuni ya bia ya
Serengeti
Haya
ni maeneo maalum yaliyotengwa kwa ajili ya kujipatia bia yako ya Tusker
Lager na vinywaji vingine vinavyotengenezwa na Kampuni ya bia ya
Serengeti
I'm a woman, a modern African woman. Kila tatizo la any African woman linanigusa kwa namna moja au nyingine...kama mama, dada, rafiki, binamu nk.. karibu tuongee kuhusu the African Woman.
Contacts:Tel - +255 795 008500
Email - barbshassan@gmail.com