Social Icons

Pages

Friday, December 30, 2011

New Year....

                                                 

Hello...
Ni mwisho wa Mwaka mwingine tena na ni muda wa kutathmini what you have done, what you have achieved kwa mwaka huu..  Na piiiiaaa kujipangia malengo mapya kwa mwaka unaokuja. One thing's for sure - kama unajiamini sanaaaa basi ni muhimu uji push na kujiweka malengo makubwa zaidi na kama sivyo jiwekee malengo "achievable"....
Usiweke malengo sawa na mwingine - hujui why huyo mwingine amejiwekea vile... Kwa mfano labda mwili wako metabolism rate yake iko slow sanaaa huwezi kujiwekea the same malengo ya kupungua mwili sawa na aliye na metabolism rate iliyo fasta..
Panga kila kitu kulingana na uwezo wako.. Then try as much as you can ku achieve yale yote unayoyapanga kabla ya mwaka kuisha... Inahitaji a lot of discipline.. but ukiamini utaweza...

Something  else ... Kuna mambo ambayo in one way or another yamekurudisha nyuma kwa mwaka huu.. Wakati tunaingia kwenye mwaka mpya - LET GO of vitu vyote hivi.. Inaweza ikawa marafiki, wapenzi, biashara, kazi nk... Try something else.. kwa mfano - umejaribu business imeshindikana na ukapata hasara in the process... Achana NAYO!!! Move on... Jaribu something else au weka hiyo hela ya capital katika bank - kwa kufungua Fixed deposit account.. Utapata faida.. Sio wote tumeumbwa na mkono mzuri wa biashara...

All in all nawashukuru woooooooteee na nawapenda sana and nawatakia heri na fanaka katika mwaka 2012..
God bless..
xoxo


                                                               

Wednesday, December 28, 2011

Ingekua ni wewe - Ungefanyaje?.....

Hi kwema?
Krismass ilikuwaje? Did u get time ku spend na family, marafiki nk? Au ulikua mwenyewe kwa sababu zisizoepukika? Whichever way - I hope you enjoyed one way or another...
Kuna jambo limemtokea a friend of mine and kwa ridhaa yake kaniambia niombe ushauri from you...

                                        

Huyu dada ntamuita Eugenia * Sio jina lake*

Eugenia ni mdada mwenye miaka 31 anatokea kwenye familia Middle Class. Ana Degree yake in Psychology and anafanya kazi nzuri tu. Anajua kujipenda na kujiweka poa. Ana heshima, ni mcheshi, very smart, intelligent, hard working, focused, God fearing nk... Amekua in a relationship na this guy kwa muda wa miaka 5. Kama kawaida wanagombana na kupatana kama any other couple... Jamaa hajawahi kumvalisha Eugenia pete ya uchumba but wazazi na ndugu wa both sides wanajua kuwa watoto wao are a couple. Juzi hapa wakawa na a very big fight - wakagombana hasa - after Eugenia kufuma some sms zilitoka kwa demu kwenye phone ya boy friend wake. But si ni kawaida kugombana na kupatana? Heee the guy ndani ya 2 weeks akaanza kutoka na demu mwingine after mwezi na nusu kamuoa!!! Eugenia amepitia a lot na huyu jamaaa.. Wakati hana kazi - she was there, matatizo ya kifamilia - she was there, Leo hii jamaa kaamua kuoa demu mwingine...

Eugenia is in shock hadi sasa hivi... Kazini hawezi kwenda, sehemu tofauti hataki kwenda.. Anakaa akilia tu.. Atakua anajiulia a lot of questions right now..
1. Where did she go wrong?
2. Mbona the guy hakutaka wakae na kutatua their problems?
3. Was this a rebound relationship (hiyo ndoa)?
4. Au jamaa alikua na nyumba ndogo long time?
5. Why jamaa amempotezea 5 years in a relationship?
Tumsaidie anahitaji ushauri wetu..

Hivi vitu hutokea if not to you directly labda kwa mtu unayemfahamu....

have a blessed day..
xoxo

email me - barbshassan@gmail.com
sms me - +255 759 008 500

Friday, December 23, 2011

Season Greetings...

Hellow wapendwa,
Nina uhakika utakua unajua fika kuhusu kinachoendelea Dsm... Hali ni tete but Mungu anasaidia. Sina mengi ya kusema ila - Tushukuru kwa Yote na tusikate tamaa plus tuendelee kuombeana...
Wakati wa msimu wa Krismasi ni wakati wa kutoa zaidi ya kupokea - kutokana na hali inayoendelea dar - wanawake na watoto wengi wakikosa malazi, chakula na hata nguo - ni muhimu kujitolea. Wakati wa kipindi hiki cha krismasi gawa ulicho nacho na wahitaji....
Tuendelee kuwaombea waliofikwa na janga hili la Mafuriko na kuwasaidia kadri tuwezavyo. Kumbuka leo kwako - kesho kwangu na Kutoa ni moyo....
Mimi nitatoa - wewe je?

Ps - Roho za marehemu wote waliopoteza maisha wakati huu wapate rehema kwa Mungu wapumzike kwa Amani. Amina.

Nawatakia heri na nafaka katika msimu huu wa Chrismas and a Happy New Year 2012.



Monday, December 19, 2011

Shukrani....

       

                                                      


Hello...
As a normal African woman - nimekuwa na malengo yangu that I wanted to achieve at a certain point katika maisha yangu. Mengine niliyapa kipaumbele, mengine nikasema ya go with the flow. I have been able to achieve mengi tu kati ya niliyojipangia.. Mengine ni more personal, mengine ni professional na mengine ni social.. Katika Social ndo kwanza nimeweza ku achieve hili la blog.

Ningependa kuchukua fursa hii kukushukuru wewe mdau wa blog hii kunipa support wakati naanza - a few months back - hadi sasa hivi. Tukienda pole pole kwa kufundishana na kukosoana all through. Asante kwa kuwa na uvumilivu with me - helping me learn more siku hadi siku... You made this possible.. Asante na Mungu aendelee kuwalinda na kuwaongoza...
Leo ni Birthday yangu... I thank God kwa kuwa nami all through - it was a loong rough road - but nikaamini kuwa there's a light at the end of the tunnel.. Mwanga nishauona na nashukuru sanaaa kwa yote... Asante Yesu, asante Mama Maria, Thank you God....

Asante wewe na wewe kwa kua nami kupitia this blog...
Ubarikiwe kwa sanaaaaa...
xoxo

Monday, December 12, 2011

Book 17th Dec Mapemaaaaa...


ICE - Jewels/Accessories + BLACK - Dress = MAGIC ( Ice Black Magic )
Saturday: 17th Dec 2011
From: 9pm Till DawniBM - Much MORE Billicanas Complex DAR   
Dress in BLACK - Pay 20,000...... Otherwise - Pay 30,000  

Book A Table Now...   
Contact Frank Gonga & Martin Jay P

on  www.gongamx.com  or Frank Gonga on Facebook...

                                

The Other Woman a.k.a Nyumba Ndogo a.k.a Mpango Wa Kando

Hellllooooooowwww,
Forgive me kwa nitachosema leo... But heeey ni kitu tunaona everyday na most likely hata sisi wenyewe humu ndani tushawahi kuwa na mahusiano, kutamani au kutembea na mume wa mtu - wakati tunajua kabisaaa he's already taken.
Kuna raha gani kuwa na someone who you know sio entirely yours., someone ambaye you can't be with muda na wakati unapomuhitaji, someone ambaye huwezi kujiachia naye kwa kwenda for movies, events nk.
 Let's start hiviii, Are you the other woman in someone's married life? Kwa nini uamue kua na affair na a married man in the first place? Utakua labda unawaza/kufikiria kua uko very much in love with him. Au utakua hujali kua he's already taken.

Why umekubali kua naye knowing darn well yuko married? Umeshawahi kuwaza kua wewe ndio muharibifu wa ndoa hiyo?

Atakua labda kakuambia kua wamekua na matatizo katika ndoa yao for years kabla hajakutana na wewe. So maybe nawee ndo unatumia hiyo kumvuta closer to you. Unaamini it's not your fault kua yupo in a relationship with you. Unawaza kua mke wake ndo mwenye tatizo as she doesnt know jinsi ya kumpenda and to cherish him. Labda kakwambia mke wake hana time naye coz she's too busy na kazi au watoto na hawako in love kama zamani.. Right? Labda hata ameshawahi kua soo emotional na wewe na kukulilia akikwambia shida za ndoa yake.

Labda kakupa a very long list ya matatizo yao and you believed him. Si ndio? Unajiuliza so what kama u are loving a married man? Inawahusu ni walimwengu eti eeeh?


Umewahi kuwafikiria watoto wake? Umewaza how many hearts you have broken?
 Umekubali kuwa mpango wa kando kwa muda gani? Na je yuko tayari kumuacha mke wake and marry you? Aki commit kwako - kwa mfano - una uhakika gani kua he wont cheat on you?
Huishiwi nguvu emotionally when you have to compete for attention and ku share a man? Hupati wivu wakati mwingine? Kua mkweli...
Haya ni baadhi ya maswali unayotakiwa kujiuliza right now kama wewe ni mpango wa kando wa a married man. Au if you are THINKING kua in a relationship na a married man...


ADVICE KWA MPANGO WA KANDO
Kama already umeingilia ndoa ya watu, hujachelewa, you can leave now. Ni maamuzi tu. Usmitishie nyau wala kutikisa kibiriti kwa kutoa ultimatum, ondoka tu! Sawa itakuuma kwa muda lakini you will heal. Tafuta vitu vya kufanya - jifunze new things ili kujiweka busy usimuwaze... Kuna thamani gani kua kwenye relationship with a guy who is cheating on his wife? Put yourself kwenye the wife's shoes, how does it feel?

Kama ndo kwanza kua na feelings na a married man, kimbiiiiaaaaaaa.. It's a bad idea!!! Ukikubali kuingia kwenye hiyo relationship na ukaacha iendelee it means feelings zitakua deeper and itakua ngumu wewe kuachana naye... And kama na yeye akikupenda, UNALO!!!
Kuna wanaume kibaaaoooooo!!!! Eg - Bachelors, divorced, and widowed. Watafute taratibuuuu and sehemu tofauti. Avoid being the other woman! Itaku cost...






                      










Song Of The day - Changing Faces - That Other Woman..

I can't be that other woman
I can't be that other woman

You only see me every Friday night at nine
Can't imagine what you told her this time
You never take me to a public place
Worried that somebody might notice your face
Rush to the liquor store and then a motel
Call up your friends to just cover you're trail
Not a word until the week goes by
You call me when you want some pie
Why am I crying every night over you
You're never gonna leave her
Finally I woke up and smell the coffee
I understand
Why two women can't share one man

I can't be that other woman
I can't love you down
Can't keep creepin' around
Can't be that other woman
Yes I want you bad
But she needs you much more

I can't be that other woman
I can't love you down
Can't keep creepin' around
Can't be that other woman
Yes I want you bad
But she needs you much more


You never see me on the holidays
You disappear and won't return my page
You take my body in the middle of night
I ain't gon lie cause boy you do it so right
And then you melt with them same three words
Sweetest seduction that I've ever heard
And in the morning with the sun rise
You run to her I realize
Why am I crying every night over you
You're never gonna leave her
Finally I woke up and smell the coffee
I understand
Why two women can't share one man

I can't be that other woman
I can't love you down
Can't keep creepin' around
Can't be that other woman
Yes I want you bad
But she needs you much more
I can't be that other woman (See)
I can't love you down (What goes around comes around)
Can't keep creepin' around
Can't be that other woman
Yes I want you bad (I want you oh so bad)
But she needs you much more (yeah, yeah, yeah, yeah, yeah)

Can I get a witness
(Yes you can)
Can I get a witness
(oh yeah, yeah, yeah, yeah)
Can I get a witness
(You know you can)
Have you ever been in love with another girl's man
Can I get a witness
(Yes you can)
Can I get a witness
(oh yeah, yeah, yeah, yeah)
You said you're leaving a thousand times
But I won't believe til the papers are signed

Can't be that other woman
I won't believe it no
I gotta be the only one
Yes I want you bad
But she needs you much more
I can't be that other woman
I can't love you down
Can't keep creepin' around (No more late night booty calls)
Can't be that other woman
Yes I want you bad
But she needs you much more
In the morning with sunrise
You will run to her
You are never gonna leave her
So I'm saying good bye...
(Fade in chorus)
Unaweza ichek kwa youtube pia...


Good day my people,
xoxo

Monday, December 5, 2011

What do Men Want? Part 2...

Mambo..
Wikend ilikuwaje? kwema? Fresh basi...
Nipo kwenye a new relationship - ndo inaanza anza - so nisaidieni kuomba so that all can go well.. Tehetehetehe...
Anyway - nataka ni share with you vitu ambavyo attract men mara wanapokuona the 1st time..
Hii ni according to Dr. Paul Dobransky amabye ni psychologist na relationship expert pia aliyeandika kitabu kinachoitwa - The Secret Psychology of How We Fall in Love, “Katika dakika 5 za kwanza za kukutana na mtu. kinacho attract wanaume zaidi ni physical beauty. Kwa men hii ndo step ya kwanza ya courtship kwao."
Anaelezea zaidi kuwa , haimaanishi kuwa wanaume wooote wanataka vimodo virembo. Instead, anaelezea jinsi gani kila mwanamume ana taste yake kwa wanawake, physically. Mwisho wa siku ni kuwa - zile dakika za kwanza ni crucial sana.  “It’s not about personality, intellect, career or any other crucial things that make up a relationship."

Hizi hapa traits 8 ambazo men wamekubali kuwa ndo wanachoona kwanza and vina maana gani kwao:

                            

1. Kwanza kabisa, Men Admire
Wajuzi wa mambo wanasemaaaa -  Behind every great woman, is a man checking out her ass.. Ni tofauti na popular belief kuwa wanawake ndo wanaangalia zaidi ya men. Wanaume wanaangalia without ku stare au kuonekana wazi anamuangalia mwanamke. Med admire : wanawake inspect.. Mwanamke anaweza kuamua anamtaka a mana kabla ya the man kumuona yeye au kabla ya kupata attention yake. Wanaume wana notice curves na contours wakati wanawake wananotice form na structure. So even though both wanawake na wanaume wanaangalia the opposite sex, wanaume wanafanya hivi kimya kimya.  


                                                  

2. Confidence
Eye contact - Kumuangalia mtu machoni inaonyesha confidence ya hali ya juu kwa mwanamke. The way unavyojibeba na pozi zako can also tell a guy kuwa - "Here Iam and I feel great"  au pozi lako linaweza sema " Oohh please usiniangalie.. Ngoja nijifiche." 
A woman akiingia sehemu, with her head held high na bonge la smile usoni, wanaume watakua attracted kwake. Usiangalie chini na kuogopa kumuangalia mwanaume in his eyes. Kumbuka ukimuangalia mtu staright in his eyes, wanaume wengi will wake make a move na kukufuata coz anaona kabisa kuna hope ya kuwa na connection na wewe. 

                   

              

3. Your Smile
A smile inaeleza mambo kuhusu a woman. Personally my man is crazy about my smile! (hahahhahahah)  But je smile yako ikoje? Ni sweet na ya ukweli au inaonekana kama umefosiwa kusmile? Pia wanaume wengine wanapenda smile flani na facial expressions. Kwa mfano - Mwanamke akiwa anacheka sanaaa na anaonekana yeye ndo mchekeshaji katika group ya marafiki alokaa nao, kuna wanaume ambao watakuwa attracted kwake. Ila kuna other men ambao wanapenda the sweet and innocent smile

                        

4. Washkaji
Believe it or not, men wanahofia sana ukiwa na bongee la group la washkaji. Ukiongea na marafiki kama 20 hivi, most men hawatothubutu to come up to you kujaribu kukutongoza. Kila mmoja anaogopa kukataliwa ujue... Tembea na washlaji wawili tu wanatosha! So munakua watatu. Washikaji zako wawili watapiga story wakati wee unakwenda kupiga story with the new guy.... 



                                

5. Your Hair
Wanaume hawajui spilt ends, growth wala treatment.. But hua wanaangalia kama your hair zinaonekana soft na kama zinanukia vizuri. Hair style nzuri inaonyesha kuwa the woman ni msafi, responsible na anachukua muda to take care of herself. Fact - 44% ya wanaume - baada ya research - walisema cha kwanza wanacho notice kwa mwanamke ni nywele, 26% more than her clothes, 25% miguu, 4% - make up. And wanaume wengi wakasema kuwa they would rather approach a woman aliye na nywele nzuriiii badala ya mwanamke aliyevaa low cut shirt... Umeona eeehhh???


                    

6. Your Makeup
Unajua Clown? Yule anayefurahisha watoto? Lakini hua anajipakapaka vitu kibao huko usoni.. Yaah.. Usifanye hivyooo.. Usipake make up hivyo.. Hata kama unataka ku attract m tu.. duuuu!! Not that much... Ushawahi kum hug a man kisha unapomuachia unaona aibu? Coz umeacha - eye shadow, mascara, lipstic na foundation kwenye shirt lake? Most men prefer wanawake wanaopaka make up kiduchu tu. Jaribu to keep uso wako as natural as possible, ukiongezea kidogo kwenye favourite features zako ( km - macho au lips), na uonyeshe dunia kuwa you are proud of who you are na mwili ulopewa.

                                  

7. Your Cleavage and Madusko (aka makalio)
Newsflash, cleavage and madusko ndo vitu vya kwanza ambavyo men wana notice kwa mwanamke. sasa hii haimanishi kuwa uache shati loteee wazi hadi kwenye kitovu ( hahahah) Noooo!! Cha muhimu na kuzingatia hapa ni kuwa - Usionyeshe kila kitu kwa sanaaaa na pia usivizibe kwa sanaaaaa... A man like mwanamke wake awe alluring na sezy bila kuoneka cheap na vulgar! Na kumbuka men wanaopenda wanawake ambao wanavaa na kuonekana vulgar na flashy hua sio wa kua kwenye a relationship.
 
                                    

8. Your Bag
No, wanaume hawajali kama umebeba Gucci bag original au fake, ila watakuangalia unavyolibeba!!!! Wanawake wanaobeba mapochi yao kwa majivuno wanaonekana kama wako materialistic. Wanaume wengi hawataki mwanamke High- maintenance so wataangalia size ya pochi  yako kama ni kubwa zaidi ya gym bag yake na wanachukulia hilo kama sign ya value of material things. Sio all men wata notice your pochi, ila kwa wale watao notice watakusaidia kutathimini kama a guy anayejali pochi yako is really the one for you. 

Una cha kuongezea? Please feel free to do so...
sms - +255 759 008500
 

Sample text

Sample Text

Sample Text