Social Icons

Pages

Monday, December 17, 2012

KOFII OLOMIDE ASHUSHA BURUDANI NZITO UWANJA WA CCM KIRUMBA USIKU HUU

Kofii Olomide na Mwimbaji Cindy wakiimba huku wakiwa amezungukwa na wanenguaji wake
Mwanamuziki Kofii Olomide akipanda jukwaani huku akisinddikizwa na waimbaji wake.
Cindy katikati Mwimbaji mahili wa kike wa mwanamuziki Kofii Olomide akiimba jukwaani kalba ya Kofii Olomide mwenyewe kupanda jukwaani.
Kazi iko hapa kama wanavyoonekana wanenguaji hao wakicheza kwa sataili ya aina yake.
Hii ilichezwa kwa kwenda mbele na kurudi nyuma huku wakiwa wameshikana.
Palikuwa hapatoshi kwa shoo kabambe kabisa kutoka kwa wanenguaji wa Kofii Olomide.
Ili mradi burudani iliyopangika kutoka kwa wanenguaji hao
Staili hiyo ilichezwa kwa hisia pia
Kutoka kulia ni Ephraim Mafuru Mkurugenzi wa Masoko wa  (SBL), Anitha Msangi Maurice Njowoka na Patrick Kisaka kutoka kampuni ya bia ya Serengeti wakishoo love kwa picha.
Mkurugenzi wa Masoko wa Kampuni ya bia ya Serengeti Ephraim Mafuru kulia na Mkurugenzi wa Clouds Media Group Joseph Kusaga wakiwa katika picha ya pamoja
Wadau kutoka Miss Tanzania wakiwa katika onesho hilo.
Rachel wa THT akicheza na mmoja wa wanenguaji wa mwanamuziki Kofii Olomide.
Kofii Olomide akimpongeza msanii Rachel wa THT baada ya kuonyesha uwezo wake katika kuimba kwenye onesho hilo.
Waimbaji wa mwanamuziki Kofii Olomide wakiimba kwa hisia katika enesho hilo.
Rapa wa mwanamuziki Kofii Olomide anayejulikana kwa jina la Computar akighani huku wanenguaji wa kiume wakiingia jukwaani.
Jukwaani ni Recho wa kundi la  THT kutoka jijini Dar es salaam akinendelea kutoa burudani jukwaani
H. Baba akifanya vitu vyake mbele ya mashabiki wa jijini Mwanza wakati akitoa burudani ya utangulizi kabla ya mwanamuziki Kofii Olomide Kupanda jukwaani.
Pepe Kale wa Mwanza naye akafanya mambo makubwa na kukubalika na umati wa mashabiki waliohudhuria katika onesho hilo.
Wasanii wa Kundi la THT wakitumbuiza katika onesho hilo.
Bendi ya Hill Way ya Mwanza ikitumbuiza katika utangulizi
Kundi la Hill Way Band likifanya vitu vyake jukwaani katika utangulizi wa burudani za tamasha la Tusker Carnival kabla ya mwanamuziki Kofii Olomide kupanda jukwaani.
Mashabiki wakiwa wameanza kumiminika kwenye uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza.
Mashabiki wakiwa  kwenye uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza wakisubiri kuona burudani ya Kofii Olomide.
Haya ni maeneo maalum yaliyotengwa kwa ajili ya kujipatia bia yako ya Tusker Lager na vinywaji vingine vinavyotengenezwa na Kampuni ya bia ya Serengeti
 
Haya ni maeneo maalum yaliyotengwa kwa ajili ya kujipatia bia yako ya Tusker Lager na vinywaji vingine vinavyotengenezwa na Kampuni ya bia ya Serengeti

6 comments:

  1. Hi! bestnaona hii kazi imekushinda bora mwaka huu uanze na jipya, maana hakuna updates ulizofanya tokea juni 2012

    ReplyDelete
  2. This design is spectacular! You certainly know how to keep a reader entertained.
    Between your wit and your videos, I was almost moved to start my own blog (well, almost.
    ..HaHa!) Great job. I really loved what you had to say, and more than
    that, how you presented it. Too cool!
    Feel free to visit my blog post ... diablo 3 class guide

    ReplyDelete
  3. This is my first time pay a visit at here and i am in fact pleassant to read everthing at alone place.
    Review my site - diablo 3 achievement guide

    ReplyDelete
  4. I think that everything published was actually very reasonable.
    However, what about this? what if you added a little information?
    I mean, I don't want to tell you how to run your blog, however what if you added a title to maybe get a person's attention?
    I mean "KOFII OLOMIDE ASHUSHA BURUDANI NZITO UWANJA WA CCM KIRUMBA USIKU HUU" is kinda vanilla.
    You might peek at Yahoo's home page and watch how they create news headlines to get people interested. You might add a related video or a picture or two to get readers excited about what you've
    got to say. In my opinion, it would bring your website a little livelier.
    My weblog internet Network Marketing Blog

    ReplyDelete
  5. The other day, while I was at work, my cousin stole my apple
    ipad and tested to see if it can survive a 25 foot drop, just so she can be a youtube sensation.
    My apple ipad is now destroyed and she has 83 views.
    I know this is completely off topic but I had to share
    it with someone!
    My homepage :: take a step back and literally

    ReplyDelete
  6. tаntriс massages are typiсally performеd in
    a mοгtal's can give each other as a Christian married mates. Pere has lightsome mastered in the the cutis, and gently fondling the hairs on his weaponry, legs and chest or back is a marvellous way to awaken all his face endings. As we age we are talented with a greater agreement carry a number of risks and face effects that can be identical severe. That is why men a great deal experience sensations related to to catharsis.

    Also visit my page; london tantra web site

    ReplyDelete

 

Sample text

Sample Text

Sample Text