Social Icons

Pages

Tuesday, January 10, 2012

Family Vs Kazi....

                                                     


Hellow,
Ningependa kukufahamisha kuwa tutakua tunajaribu kutatua na to give advice kwa watu tofauti watakaokuwa wanatuma emails za whatever they are going through every alhamisi. Nimeipa jina la - Tatua Thursday.. Kwa hiyo feel free kutuambia tatizo lako na nitaipost hapa na kuomba ushauri kwenye email ya - barbshassan@gmail.com
Jana niliangalia movie inaitwa Chrismas Cupid starring Christina Millian na wengineo. Hii movie ilinikumbusha how tunakua sooo engaged na pilika pilika hadi tunasahau vitu very important maishani mwetu. Mf You get sooo into your job - kwa sababu labda unafukuzia promotion au kuongezewa mshahara hadi unakua hupati muda wa ku spend na familia yako na close friends..
If I ask you - Chrismas na Mwaka Mpya ulispend vipi na wapi utanijibu nini? Je
- Ulikuwa kazini?
- Ulisafiri kikazi?
- Ulikaa na marafiki?
We usually take things/ people for granted. Tena tunawaonea zaidi family and friends. Umewahi kujiuliza labda if anything happens to you - kama ajali au hata kifo (Mungu atuepushie) nani ataumia zaidi? Nani atakumiss zaidi? Nani atakuwepo there for you? Kikazi watatafuta mtu wa kuku replace.. But your kids hawawawezi kupata replacement ya mama au baba... your friends hawawezi kupata replacement yako...
Ninachojaribu kusema ni kuwa pamoja na kuwa unawatengenezea watoto na familia yako kwa ujumla a better tomorrow kumbuka kutenga muda kwa ajili yao. Spend time with them as much as you can.
Cook for them, nenda nao swimming, play with them, hang out nao, wapeleke shule when you can.. It's the small things that matter.. Work will always be there, but work haitokupa the love that your family na close friends watakupa...


                                              
Be blessed,
xoxo

1 comment:

  1. Babra vipi,

    Mbona hutupii lolote kwa wiki ya 2-3 sasa.

    Usichoke tunafatilia tunasoma blog yako.

    Utatupoteza mafans wako!

    ReplyDelete

 

Sample text

Sample Text

Sample Text