Social Icons

Pages

Monday, December 19, 2011

Shukrani....

       

                                                      


Hello...
As a normal African woman - nimekuwa na malengo yangu that I wanted to achieve at a certain point katika maisha yangu. Mengine niliyapa kipaumbele, mengine nikasema ya go with the flow. I have been able to achieve mengi tu kati ya niliyojipangia.. Mengine ni more personal, mengine ni professional na mengine ni social.. Katika Social ndo kwanza nimeweza ku achieve hili la blog.

Ningependa kuchukua fursa hii kukushukuru wewe mdau wa blog hii kunipa support wakati naanza - a few months back - hadi sasa hivi. Tukienda pole pole kwa kufundishana na kukosoana all through. Asante kwa kuwa na uvumilivu with me - helping me learn more siku hadi siku... You made this possible.. Asante na Mungu aendelee kuwalinda na kuwaongoza...
Leo ni Birthday yangu... I thank God kwa kuwa nami all through - it was a loong rough road - but nikaamini kuwa there's a light at the end of the tunnel.. Mwanga nishauona na nashukuru sanaaa kwa yote... Asante Yesu, asante Mama Maria, Thank you God....

Asante wewe na wewe kwa kua nami kupitia this blog...
Ubarikiwe kwa sanaaaaa...
xoxo

8 comments:

  1. Happy Birthday Dear

    ReplyDelete
  2. Happy birthday my dear, mungu akupe afya njema na mwakani usherehekee tena

    ReplyDelete
  3. Happy birthday Barbra! keep it up!

    ReplyDelete
  4. HAPPY BIRTHDAY BABRA.MUNGU AKUPE MAISHA YENYE AMANI NA FURAHA TELE................!!!

    DOSCA

    ReplyDelete
  5. This iѕ ѕіncerеlу Happу if
    you do not eгotic lοvе yoursеlf and others.
    But hoω do we style, yet unlike sufficiency thаt
    I let go of Sаlaried attеntiоn to the pгofіciency and
    еmbraced receiving all the benеfitѕ. some democгatiс ѕmudging my one highlу big heiгloom love apρle a Рaгk love apple, aѕ shοwn in
    thе picturе was the еquivаlent weight of 2-1/2 normal tomatoes.

    tantгic massаge continues tο expаnd not going аωay
    to ԁo thаt foг yοu!

    Yeah, it's ego-published, but it'ѕ cаn be attained and imрroved upon through
    prеpаrаtion and perѕonаl attunements.


    My page: Erotic Massage in london

    ReplyDelete
  6. Ushuhuda Wangu wa Kutoka Moyoni 💖

    Baada ya baba yangu mdogo kuniacha kwa miezi saba mirefu, nilikuwa nimevunjika moyo kabisa. Alinizuia kwenye mitandao yote ya kijamii, akaondoka, na hakukuwa na njia ya kumfikia. Karibu nikate tamaa, lakini ndani kabisa nilijua singeweza kupata mtu yeyote ambaye angenipenda na kunitendea jinsi alivyonitendea.

    Siku moja, bosi wangu kazini aligundua jinsi nilivyokuwa na huzuni na akanitambulisha kwa Dkt. Dawn. Dkt. Dawn alisikiliza hadithi yangu na akaahidi kwamba mpenzi wangu angerudi kwangu ndani ya siku tatu. Kwa kweli, sikuamini mwanzoni—lakini kwa mshangao wangu mkubwa, siku ya tatu simu yangu iliita. Ilikuwa yeye! Alikuwa akilia na kuomba msamaha, akisema hataniacha tena.

    Tangu siku hiyo, uhusiano wetu umekuwa na nguvu na uzuri zaidi kuliko hapo awali. Amekuwa akipenda na kunijali mimi na mtoto wetu, na sasa tunafunga ndoa katika miezi miwili tu! ❤️

    Shukrani zote kwa Dkt. Dawn, ambaye kwa kweli alifanya jambo lisilowezekana liwezekane. Ninampendekeza kwa moyo wote kwa yeyote anayekabiliwa na changamoto katika:

    Masuala ya uhusiano au ndoa

    Ugonjwa au magonjwa

    Matatizo ya utasa au bahati nasibu

    Kesi za mahakamani au urejeshaji wa mali

    Dkt. Dawn kweli hutatua matatizo kwa ufanisi na hurudisha furaha katika maisha ya watu.

    Wasiliana na Dr. Dawn kwenye WhatsApp: +2349046229159
    Barua pepe: dawnacuna314@gmail.com

    ReplyDelete

 

Sample text

Sample Text

Sample Text