Social Icons

Pages

Friday, December 23, 2011

Season Greetings...

Hellow wapendwa,
Nina uhakika utakua unajua fika kuhusu kinachoendelea Dsm... Hali ni tete but Mungu anasaidia. Sina mengi ya kusema ila - Tushukuru kwa Yote na tusikate tamaa plus tuendelee kuombeana...
Wakati wa msimu wa Krismasi ni wakati wa kutoa zaidi ya kupokea - kutokana na hali inayoendelea dar - wanawake na watoto wengi wakikosa malazi, chakula na hata nguo - ni muhimu kujitolea. Wakati wa kipindi hiki cha krismasi gawa ulicho nacho na wahitaji....
Tuendelee kuwaombea waliofikwa na janga hili la Mafuriko na kuwasaidia kadri tuwezavyo. Kumbuka leo kwako - kesho kwangu na Kutoa ni moyo....
Mimi nitatoa - wewe je?

Ps - Roho za marehemu wote waliopoteza maisha wakati huu wapate rehema kwa Mungu wapumzike kwa Amani. Amina.

Nawatakia heri na nafaka katika msimu huu wa Chrismas and a Happy New Year 2012.



2 comments:

  1. Japo ishapita.........Asante saaana. Nadhani na wewe ulisherehekea vizuri tu!

    Elmmy

    ReplyDelete
  2. Ushuhuda Wangu wa Kutoka Moyoni 💖

    Baada ya baba yangu mdogo kuniacha kwa miezi saba mirefu, nilikuwa nimevunjika moyo kabisa. Alinizuia kwenye mitandao yote ya kijamii, akaondoka, na hakukuwa na njia ya kumfikia. Karibu nikate tamaa, lakini ndani kabisa nilijua singeweza kupata mtu yeyote ambaye angenipenda na kunitendea jinsi alivyonitendea.

    Siku moja, bosi wangu kazini aligundua jinsi nilivyokuwa na huzuni na akanitambulisha kwa Dkt. Dawn. Dkt. Dawn alisikiliza hadithi yangu na akaahidi kwamba mpenzi wangu angerudi kwangu ndani ya siku tatu. Kwa kweli, sikuamini mwanzoni—lakini kwa mshangao wangu mkubwa, siku ya tatu simu yangu iliita. Ilikuwa yeye! Alikuwa akilia na kuomba msamaha, akisema hataniacha tena.

    Tangu siku hiyo, uhusiano wetu umekuwa na nguvu na uzuri zaidi kuliko hapo awali. Amekuwa akipenda na kunijali mimi na mtoto wetu, na sasa tunafunga ndoa katika miezi miwili tu! ❤️

    Shukrani zote kwa Dkt. Dawn, ambaye kwa kweli alifanya jambo lisilowezekana liwezekane. Ninampendekeza kwa moyo wote kwa yeyote anayekabiliwa na changamoto katika:

    Masuala ya uhusiano au ndoa

    Ugonjwa au magonjwa

    Matatizo ya utasa au bahati nasibu

    Kesi za mahakamani au urejeshaji wa mali

    Dkt. Dawn kweli hutatua matatizo kwa ufanisi na hurudisha furaha katika maisha ya watu.

    Wasiliana na Dr. Dawn kwenye WhatsApp: +2349046229159
    Barua pepe: dawnacuna314@gmail.com

    ReplyDelete

 

Sample text

Sample Text

Sample Text