Social Icons

Pages

Friday, February 17, 2012

Wangu Wa Makeri - Unamfahamu???

Hellow,
Leo my colleague Gerald Hando amenikumbushia mwanamke huyu Wangu Wa Makeri. He took me way back nlipokua shule and nilisoma kwenye vitabu vya history about this "superwoman" aliyekuwa anachukiwa na all men folk wa Kenya kwa jinsi alivyowadhalilisha na kuwatesa wanaume! Unamfahamu Wangu Wa Makeri?
               

                                        


Wangu wa Makeri alikua leader wa kwanza wa Kike katika kabila la Kikuyu nchini Kenya. Zama hizoooo wakati wa wakoloni.  According to the legend, wanawake wa Kikikuyu walikua wakiolewa - mume anakua anakumiliki, kwa hiyo however atavyojisikia kuku treat ndivyo atafanya. Na pia akiamua kuwa utapata kipigo kila siku - ndo hivyo itakavyokua.. Si kakutolea mahariiii? (SO SAD)
Kwa hiyo, Wangu Wa Makeri alipoteuliwa na wakoloni kua mkuu wa Wilaya, akatoa machungu yake yote kwa niaba ya wanawake wooooote wa Kikuyu.... Oooohhh don't mess with a woman scorned!!! You will taste her wrath!!!! Anyway, soooo baada tu ya kupata that cheo Wangu Wa Makeri akawaonjesha hell wanaume! To pay back kwa mateso walokua wanapata wanawake at that time...
Alizaliwa mwaka 1856 mma cheo cha ukuu wa wilaya alipata mwaka 1901. Ilikua haijawahi kutokea kabisa mwanamke kupata a high cheo like that. Wangu aliwaumbua sana wanaume. Inasemekana alikua anawapanda kama farasi, yaani mwanamume gets on all fours kisha Wangu anampandia juu, na huyo mwanamume anaanza kutambaa kama mtoto! Aliwatumia kama viti na pia sehemu ya kutuliza her legs.. Pia katika mapenzi alikua anamchagua yule amtakaye, na kumfanyia vile atakavyo. Ole wako usimridhishe! Cha moto utakiona!! Alikua akichukua hadi wanaume zaidi ya wawili and have sex with them kwa wakati mmoja.. Ulidhani vimeanza juzi hivi?? Mbona loong time mambo haya yapo?
Ila hii tabia yake made her achukiwe sana na wanaume manake alikua anapitiliza kuwatesa na kuwaaibisha men. And kumbuka alikaa madarakani for 35 years!!! Miaka yote hii akifanya atakavyo. Duuuuu.. Wanaume walikoma wakati huo! In the end, kilichosababisha kunyang'anywa cheo pamoja na kifo chake was mgongano kati ya Wakikuyu na wakoloni.
That is Wangu wa Makeri!!! Reputation yake ya kua na many lovers na hamu ya kukalia wanaume vichwani bado inatumiwa kama weapon till today katika vita ya gender, wakisema kua any woman who loves power and money katokea kwa ukoo wa Wangu wa Makeri!!!




 PS- kwa maoni, advice, maswali na mengineyo - wasiliana nami -
 barbshassan@gmail.com or sms - +255 759 008500
                                                
Wishing you a lovely weekend..
xoxo

3 comments:

  1. peoρle who are suffeгing from MS groupіng work ,
    etc. comfortablу being а fеrtile person in the wοгkplace REQUIRES
    interaсtіon and chеmісal gгoup wоrk with
    othеr stave some of which are nоt geographically cο-loсated.
    If you wаnt the Best you can get from a massage "seance".
    .. you got 7:2, and then to her wаiѕt 7:
    2, bгеasts, neck, nose, head anԁ haiг's-breadth would fit this. Many women have problems with their herdkanak kanak te soue guni .

    Stop by my webpage - london tantra

    ReplyDelete
  2. Capitаl of Sіngaporе Tantric ѕpecialіsts for hotel Τantгic Maѕsage table seгvісe оffers fоr the money, Withal, it
    will be arduous passing іndeеd.

    Μake suге you to an opportunіty to bring residuаl, hаrmony, easiness and Oveгall wellneѕs.


    Look at my website: webpage
    My page > erotic massage London

    ReplyDelete
  3. I really like reading an article that can make people think.

    Also, many thanks for allowing for me to comment!

    My page - how to get pregnant

    ReplyDelete

 

Sample text

Sample Text

Sample Text