Social Icons

Pages

Tuesday, November 15, 2011

Kiafrika Zaidi - Traditional Nguo Za Different African Countries.... Part 1

Hey,
There's nothing kizuri kama kuenzi Uafrika wetu. Na pamoja na kukuza na kuendeleza cultures na tabia zetu za Kiafrika, Kuna mambo ya msingi ambayo tunachukulia poa. Mavazi ya Kiafrika ni mojawapo. Acha pembeni food (another topic for another day). Coz kwa mavazi tu someone anaweza ku conclude what kind of person you are. Ukiwa umevaa nguo za Kiafrika kama mwafrika - immediately mtu anajua wewe uko very proud of being an African.
Nilichofanya nimetafuta National dresses za different African countries ili at least me na wewe tushoneshe na kuringa nazo. MAnake ubunifu wetu umeishia kuiga tu za Kinigeria zaidi wakati kuna Mataifa kibao Africa! Hehhehe...
Ps.. Ukizingatia kua kuna nchi kibao ndani ya bara la Africa - we can't finish all these countries kwa siku moja. So huu utakua mfululizo... Twende taratibuuuuu...

  1. Algeria

                                                     For Ladies.....

                                                     Kwa wakaka...

Pia nimeona wadada wanavaaa a loooooot of jewellery ......




2. Angola
Ladiiiiiiieeessss - nawatonya... Etiiiiii huko Angola population yao ni 56% wanaume na 44% wanawake.. Haya kama unatafuta mume wa peke yako nenda huko - just don't forget to  learn Portugues! Hahahahahah!
Nimepata this pic kutoka kwa Bella Naija ambapo Nelsa Alves Miss Angola 2009 alivaa katika mashindano ya Miss World kama National costume

                                                         
 

3. Benin
Benin ni nchi iliyoko West Africa. Ni nchi maskini, mara nyingi utakuta watu wa huko wakivaa rags. But wenyewe wanasema unaweza wewe kama mgeni kununua Beninese fabric ukapeleka kwa fundi ushonewe nguo zao - Bubus na Bombas. Hazina tofauti sanaaa na nguo za Nigeria... 





4. Botswana
Nikiskia Botswana nawakumbuka Makhirikhiri!!!!!

Tafuta ngozi.. Sjui ni ya ngombe au mbuzi au swala.. Humo humo tu.. Hehehhe Kwa kweli You will never find me wearing that, Hata nikipewa bure! Mweee!!!

5. Burkina Faso
One of nchi maskini zaidi Duniani...
                                         
Ilikua ngumu sana kutafuta Natioonal costume ya Burkina - Ila kwa vile ni West Africa - most countrieas za kule wanavaa nguo za kufanana kama Nigeria ( nimetaja Nigeria coz wengi wetu tunafahamu nguo zao and tunazimiliki) Anyway cha kusikitisha ni kua wanawake wa Burkina Faso wanapitia a lot of social, economic pamoja na political discrimination. Kwa mfano - Hawapati urithi sawa wala haki za Kisheria sawa na wanaume. Rates za wanawake wasojua kusoma na kuandika ni mara mbili zaidi ya men na a very large percentage ya wanawake wana maambukizi ya HIV/AIDS...

Tuwaombeee....
Be blessed.


Maoni yako... tuma kwa barbshassan@gmail.com
or sms - +255 795 008500                              
                                                                                                                 

2 comments:

  1. For siddha peoples soul cаlling aгe nеarly assuredly gгateful abοut the incontrοvertible final
    result Ѕcorn the extra toll of the tantric massage trеatmentѕ combіned with the price οf ΑRT.
    It wаs a Dandy way roles аfterωаrds
    10/15 proceeԁings.

    ReplyDelete
  2. CHUMA ULETE YA CHUNGU

    Kwanza CHUMA ulete Ni nini?
    Ni dawa ambayo utengenezwa kwa mkusanyiko wa utaratibu Fulani unaofanyika kwa pamoja kwa mlengo wa uvutaji au uvunaji wa fedha kutoka sehemu tofauti au mbalimbali.

    (Kwa uhitaji wa NDAGU AU JIHNI WA MALI AU FEDHA NA KINGA YA MWILI NA MALI KWA UJUMLA NIPIGIE SIMU MOJA KWA MOJA DOKTA MDIRO +255 742162843 KWA MAELEKEZO HATA KAMA UKIWA MBALI MALIPO NI BAADA YA MAFANIKIO).

    CHUMA ulete katika utengenezwaji hutumika jini anayeitwa GHUUL ambae uleta au uvuta fedha kimazingala kutoka sehemu mbalimbali kwa utaratibu maalumu. CHUMA ulete zipo Aina nyingi Ila leo nitazungumzia CHUMA ulete mdogo ya CHUNGU.

    Chuma uleteee ndogo ya chungu ambayoo inaluka na kwenda kukusanya pesa sehemu mbali mbali inavuta pesa ndanii .

    Hii chakula chake ni udi tuu na unaweza kunuwiza ukachagua ukaomba ikuletee pesa za aina gani wewe utachaguwa kama unavyoona hapo kwenye picha hii ni chuma uleteee ndogo mtu yeyotee anaweza kutengenezewa hata kama huna biashala pia hata Kama upo mbali kikubwa tu uwe na uwezo wa kutunza sili. Vile vileee hii inadumu miaka 5 itakubidii uludi kuja kutengeneza upya kafara ya damu ya kuku mwekunduu inatakiwa kila baada ya miezi 3.

    Tafuta chungu kama icho kwenye picha fanya duwa maalumu ambayo nitakupatia na tafuta udi Aina ya sain frola, metrofrolla au metromillan na kitambaa cheupe pia chumba kisafi kwa ajili ya ibada hiyo.

    Kumbuka hii ni chuma uleteee ndogo ya chungu hutakiwi kutoaa sili ya jini huyu na ufalume wa jini huyu maana utavunja miiko na maagano ya Jambo Hilo.

    Angalizo Piga simu kuepuka MATAPELI pia kwa maelekezo zaidi husifanye jambo hili bila maelekezo KAMILI.

    DOKTA MDIRO

    Call/whatsup +255 742162843

    ReplyDelete

 

Sample text

Sample Text

Sample Text