Social Icons

Pages

Tuesday, November 1, 2011

Desparation inaweza kukupush kwa kiasi gani?

Hellow beautiful people,
You good? Weekend nilipata kuangalia movie inaitwa 35 and Ticking...


This pushed me kuangalia maisha ya wanawake wenzangu tofauti. Ujue it's soo easy for us kupoint fingers na kusema - yule mbona hajaolewa hadi now, anasubiri nini? Anajali sana about career na kuweka mapenzi pembeni? Yule mbona hazai... nk..
Society kwa ujumla inatufanya sisi kama wanawake sometimes kujichukia na kupata depression ya hali ya juu because of what they expect us to do kwa muda flani. Kwani kuna sehemu tunaambiwa wanawake tuwe tumeolewa by miaka mingapi, au tuwe tumeshapata watoto kabla ya kufikia miaka flani? Aaah this thing hua inanichanganya sana.
My point is - pindi unapokua umechagua au kujiwekea your own goals in life - labda umejiwekea kuwa you wont get married hadi upate Masters ya whatever... Ila watu wa nje wanaanza kukusema - Ooh doesnt she hear the biological clock ticking. Jamaniii.. Watu wana malengoooo.. Hehhehe.. Ila kweli inaboa.
Basi na wewe mwanamke mwenzangu when you hear people talking about you unapanic! Unatafuta bwana kwa haraka au unaanza mambo ya online dating ( who said that works anyway) Unaishia kupata mtu ambaye haeleweki coz kwa ajili ya haraka unakua unamfahamu kijuu juu tu. Mukishaoana au after kufika mbali in the relationship anaanza kukuonyesha vimbwanga! Unajutaje! Tena hao wa kukutana through the internet unakuta kasema yeye ni mwembama (kumbe mnene), hana kazi (very successful) etc...



                                                        
Hahhaha That's another topic for another day...
 Kwa hili la leo.. Nipe comment zako - Labda mi sjui kama kuna a certain age ambayo wanawake tunatakiwa tuwe tumeolewa au kuondoka home kwa wazazi au kupata watoto. Kama unafahamu please tuhabarishe.

Advice from me..
Live your life - in the process - achieve your goals. Ukisikiliza sana watu you wont get anywhere.Be you and do what YOU love. Don't let peer pressure choose your life path.   Love yourself.

xoxo
Have a lovely day

ps... Contact me - barbshassan@gmail.com
sms - 0759 008500                                         

No comments:

Post a Comment

 

Sample text

Sample Text

Sample Text