Social Icons

Pages

Monday, December 5, 2011

What do Men Want? Part 2...

Mambo..
Wikend ilikuwaje? kwema? Fresh basi...
Nipo kwenye a new relationship - ndo inaanza anza - so nisaidieni kuomba so that all can go well.. Tehetehetehe...
Anyway - nataka ni share with you vitu ambavyo attract men mara wanapokuona the 1st time..
Hii ni according to Dr. Paul Dobransky amabye ni psychologist na relationship expert pia aliyeandika kitabu kinachoitwa - The Secret Psychology of How We Fall in Love, “Katika dakika 5 za kwanza za kukutana na mtu. kinacho attract wanaume zaidi ni physical beauty. Kwa men hii ndo step ya kwanza ya courtship kwao."
Anaelezea zaidi kuwa , haimaanishi kuwa wanaume wooote wanataka vimodo virembo. Instead, anaelezea jinsi gani kila mwanamume ana taste yake kwa wanawake, physically. Mwisho wa siku ni kuwa - zile dakika za kwanza ni crucial sana.  “It’s not about personality, intellect, career or any other crucial things that make up a relationship."

Hizi hapa traits 8 ambazo men wamekubali kuwa ndo wanachoona kwanza and vina maana gani kwao:

                            

1. Kwanza kabisa, Men Admire
Wajuzi wa mambo wanasemaaaa -  Behind every great woman, is a man checking out her ass.. Ni tofauti na popular belief kuwa wanawake ndo wanaangalia zaidi ya men. Wanaume wanaangalia without ku stare au kuonekana wazi anamuangalia mwanamke. Med admire : wanawake inspect.. Mwanamke anaweza kuamua anamtaka a mana kabla ya the man kumuona yeye au kabla ya kupata attention yake. Wanaume wana notice curves na contours wakati wanawake wananotice form na structure. So even though both wanawake na wanaume wanaangalia the opposite sex, wanaume wanafanya hivi kimya kimya.  


                                                  

2. Confidence
Eye contact - Kumuangalia mtu machoni inaonyesha confidence ya hali ya juu kwa mwanamke. The way unavyojibeba na pozi zako can also tell a guy kuwa - "Here Iam and I feel great"  au pozi lako linaweza sema " Oohh please usiniangalie.. Ngoja nijifiche." 
A woman akiingia sehemu, with her head held high na bonge la smile usoni, wanaume watakua attracted kwake. Usiangalie chini na kuogopa kumuangalia mwanaume in his eyes. Kumbuka ukimuangalia mtu staright in his eyes, wanaume wengi will wake make a move na kukufuata coz anaona kabisa kuna hope ya kuwa na connection na wewe. 

                   

              

3. Your Smile
A smile inaeleza mambo kuhusu a woman. Personally my man is crazy about my smile! (hahahhahahah)  But je smile yako ikoje? Ni sweet na ya ukweli au inaonekana kama umefosiwa kusmile? Pia wanaume wengine wanapenda smile flani na facial expressions. Kwa mfano - Mwanamke akiwa anacheka sanaaa na anaonekana yeye ndo mchekeshaji katika group ya marafiki alokaa nao, kuna wanaume ambao watakuwa attracted kwake. Ila kuna other men ambao wanapenda the sweet and innocent smile

                        

4. Washkaji
Believe it or not, men wanahofia sana ukiwa na bongee la group la washkaji. Ukiongea na marafiki kama 20 hivi, most men hawatothubutu to come up to you kujaribu kukutongoza. Kila mmoja anaogopa kukataliwa ujue... Tembea na washlaji wawili tu wanatosha! So munakua watatu. Washikaji zako wawili watapiga story wakati wee unakwenda kupiga story with the new guy.... 



                                

5. Your Hair
Wanaume hawajui spilt ends, growth wala treatment.. But hua wanaangalia kama your hair zinaonekana soft na kama zinanukia vizuri. Hair style nzuri inaonyesha kuwa the woman ni msafi, responsible na anachukua muda to take care of herself. Fact - 44% ya wanaume - baada ya research - walisema cha kwanza wanacho notice kwa mwanamke ni nywele, 26% more than her clothes, 25% miguu, 4% - make up. And wanaume wengi wakasema kuwa they would rather approach a woman aliye na nywele nzuriiii badala ya mwanamke aliyevaa low cut shirt... Umeona eeehhh???


                    

6. Your Makeup
Unajua Clown? Yule anayefurahisha watoto? Lakini hua anajipakapaka vitu kibao huko usoni.. Yaah.. Usifanye hivyooo.. Usipake make up hivyo.. Hata kama unataka ku attract m tu.. duuuu!! Not that much... Ushawahi kum hug a man kisha unapomuachia unaona aibu? Coz umeacha - eye shadow, mascara, lipstic na foundation kwenye shirt lake? Most men prefer wanawake wanaopaka make up kiduchu tu. Jaribu to keep uso wako as natural as possible, ukiongezea kidogo kwenye favourite features zako ( km - macho au lips), na uonyeshe dunia kuwa you are proud of who you are na mwili ulopewa.

                                  

7. Your Cleavage and Madusko (aka makalio)
Newsflash, cleavage and madusko ndo vitu vya kwanza ambavyo men wana notice kwa mwanamke. sasa hii haimanishi kuwa uache shati loteee wazi hadi kwenye kitovu ( hahahah) Noooo!! Cha muhimu na kuzingatia hapa ni kuwa - Usionyeshe kila kitu kwa sanaaaa na pia usivizibe kwa sanaaaaa... A man like mwanamke wake awe alluring na sezy bila kuoneka cheap na vulgar! Na kumbuka men wanaopenda wanawake ambao wanavaa na kuonekana vulgar na flashy hua sio wa kua kwenye a relationship.
 
                                    

8. Your Bag
No, wanaume hawajali kama umebeba Gucci bag original au fake, ila watakuangalia unavyolibeba!!!! Wanawake wanaobeba mapochi yao kwa majivuno wanaonekana kama wako materialistic. Wanaume wengi hawataki mwanamke High- maintenance so wataangalia size ya pochi  yako kama ni kubwa zaidi ya gym bag yake na wanachukulia hilo kama sign ya value of material things. Sio all men wata notice your pochi, ila kwa wale watao notice watakusaidia kutathimini kama a guy anayejali pochi yako is really the one for you. 

Una cha kuongezea? Please feel free to do so...
sms - +255 759 008500

7 comments:

  1. Cha kuongezea hapo ni Macho kuna wanaume wengine wako crazy na macho ya mwanamke tehe tehe tehe...... Hata mie naipenda sana smile yako Mamii Barbara!

    Elmmy

    ReplyDelete
  2. Yote ni sawa but kwa kuongezea hapo pia wanaume huwa wanapenda kwa mara ya kwanza mwanamke awe na aibu fulani hivi kwa mbaali. keep the gooda job.

    ReplyDelete
  3. Hongera sana, I will pray for your new relationship

    ReplyDelete
  4. me too will pray for u in ur new relationship karibu kwenye ulimwengu wa raha na karaha vyote twapaswa kuvikubali.... na hongera kwa kazi nzuri...

    says
    fetty

    ReplyDelete
  5. I wish I could read this before marriage. Lol. Ngejichagulia tu. Natania.

    Ila uzi umeenda kidato. Bravoooo.

    ReplyDelete
  6. It іs bеlieveԁ that Tantric Massage brings
    the cοnѕistеncy anԁ to wake up and reaԁ
    the leѕsons with kerοsenе lamps. I teѕtament
    gently гemind уοu to keеp ventіlation, for аԁԁіtіonal information.
    sucсessful men dont only DREΑM IT. Neω уear,
    Facіal Εnhаncе wοuld like to
    give eνerуonе theiг idеntіcal own virtuаl rеd mаіl boаt!

    ReplyDelete
  7. Ηey there I am so hаppy Ι found your webpage, I really
    fоund уοu by aссident, while I was looking on
    Yаhoo fοr somethіng else, Anyhоw
    I am hеre now and would just likе to say thanks a lot
    for a fantastic post аnd a аll rοund enteгtainіng blog (I also
    love the theme/design), I don�t have time to read it all
    at thе moment but I hаve bookmаrκed іt and аlso added youг RSЅ feeds, so when I
    hаvе time Ι will be back to reаd a great ԁeal more, Pleаse do keep up thе
    ѕuperb jo.

    Here is my sitе :: store possessions

    ReplyDelete

 

Sample text

Sample Text

Sample Text