Weekend iliindaje? Mmmmhhh.... Ulipitia na kuchunguza about size? hehehhehe.. Mwenzanguu nilisemwaaa.. Hahhaha - I knew it was gonna happen anyway. But si nilijikosha mapema nikasema nitakuwa honest and bold? So no problem..
Anyway, unakumbuka siku nili share nawe siri ya lile Duka la nguo na accessories amongst other things la Navo's Choice - well niliku promise kua the minute kukiwa na Sale (hata mie nasubiria) au kukiletwa New Arrival nitakutonya. Bora kujiset mapemaaaa badala ya kusubiri kupigana vikumbo on Chrismas Eve.
Sooooo ladies and ladies..... Behold....
Kiukweli Ugonjwa wangu ni dresses...
Handbags
More dresses.. Nisameheni...
Skirts!!!! Yaaaaayyy!!!
Ok.... Lemme run nakwenda Navo's Choice kabla vitu havijaisha! Isiwe taabu! hehehehhe!!!! Usisahau maeneo ni paleeeee karibu na Barclays Mikocheni kwenye yale maduka mengiiii.. Navo's Choice New Arrivals!!! Jamani tukutane hukooo...
xoxo
Good day..

aisee ntapatembelea
ReplyDeletekaribu sana
ReplyDeleteKUMTULIZA MKE/MME WAKO MTIMIZE MALENGO YENU.
ReplyDeleteASALAAM WAALAYKUM/ HABARI ZENU NYOTE
LEO natoa somo Kwa ufupi sana kuhusu mahusiano,
Kila mtu ana haki ya kupendwa pia kupenda kulingana na mzunguko na harakati za maisha watu wengi wamejikuta aidha kwa wanaume na wanawake wote Kwa ujumla kudharauliwa, kuteswa, kunyimwa unyumba, kupuuzwa na hata kuchepukwa na wake au wachumba zao bila hata hofu yoyote hii ikipelekea familia nyingi au ndoa nyingi kuvunjika na nyingine kuishi bila amani na raha.
Mwanamke/mwanaume au Binti au kijana unaesoma huu ujumbe husikubali mtu ambaye unamalengo naye kumpoteza hivi na wakati Kwa mwanaume tunatafuta Ili familia zetu zifurahi na mwanamke unaishi Ili kulitunza nyumba au watoto wako.
Kimekuwa na watoto wengi mitaani kisa wababa kukimbia familia na wamama sikuhizi kukimbia mpaka watoto kwanini usumbuke Dokta Mdiro nakuletea dawa ya KUMTULIZA mme/MKE/mchumba/ au umpendae dawa hii ni tofauti na Limbwata na Haina madhara katika Afya ya akili wana mizunguko ya kilasiku Kwa mhusika
Dawa hii ya ZIKA HABA Itamfanya umpendae
AKUPENDE
AKUSIMILIZE
AKUHESHIMU
ASICHEPUKE
KUKUFANYA KUWA WA KWANZA KWAKE
Muweze kupanfa mambo yenu na kutimiza mambo yenu ya kimaisha
Siku zote kumbuka DOKTA MDIRO anatoa huduma kama kusafisha nyota, kusuluhisha migororo ya ndoa, mahusiano, mapenzi na familia, kumfunga mume au mke asitoke nje ya ndoa, anatoa tiba kwa wanaotafuta watoto Mali na Ndagu.
Vilevile anatoa huduma ya kukusaidia kupata kazi au ajira, kupandishwa cheo na mshahara kazini, kuwasaidia wenye urahibu wa dawa za kulevya, sigara na pombe, kwa wanaotafuta mume au mke pia anawasaidia tena ndani ya siku chache.
Anatibu magonjwa kama kisukari, msukumo wa damu (BP), upungufu wa nguvu za kiume, miguu kuwaka moto n.k, pia anaweza kuisadia biashara yako kunawiri, na huduma zote hizi unaweza kuzipata bila kufika ofisini kwake.
Basi chukua hatua ya kuwasiliana na DOKTA MDIRO
CALL/WHATSUP
+255 742162843