Social Icons

Pages

Tuesday, October 25, 2011

Sharing is Caring...

Hellooowwww...
Weekend iliindaje? Mmmmhhh.... Ulipitia na kuchunguza about size? hehehhehe.. Mwenzanguu nilisemwaaa.. Hahhaha - I knew it was gonna happen anyway. But si nilijikosha mapema nikasema nitakuwa honest and bold? So no problem..
Anyway, unakumbuka siku nili share nawe siri ya lile Duka la nguo na accessories amongst other things la Navo's Choice - well niliku promise kua the minute kukiwa na Sale (hata mie nasubiria) au kukiletwa New Arrival nitakutonya. Bora kujiset mapemaaaa badala ya kusubiri kupigana vikumbo on Chrismas Eve.
Sooooo ladies and ladies..... Behold....



Kiukweli Ugonjwa wangu ni dresses...


Handbags



More dresses.. Nisameheni...





                               Skirts!!!! Yaaaaayyy!!!

                                                         





Ok.... Lemme run nakwenda Navo's Choice kabla vitu havijaisha! Isiwe taabu! hehehehhe!!!! Usisahau maeneo ni paleeeee karibu na Barclays Mikocheni kwenye yale maduka mengiiii.. Navo's Choice New Arrivals!!! Jamani tukutane hukooo...


xoxo
Good day..


                                                                                            

3 comments:

  1. aisee ntapatembelea

    ReplyDelete
  2. Rehema - Navo's ChoiceOctober 31, 2011 at 10:18 AM

    karibu sana

    ReplyDelete
  3. KUMTULIZA MKE/MME WAKO MTIMIZE MALENGO YENU.

    ASALAAM WAALAYKUM/ HABARI ZENU NYOTE

    LEO natoa somo Kwa ufupi sana kuhusu mahusiano,
    Kila mtu ana haki ya kupendwa pia kupenda kulingana na mzunguko na harakati za maisha watu wengi wamejikuta aidha kwa wanaume na wanawake wote Kwa ujumla kudharauliwa, kuteswa, kunyimwa unyumba, kupuuzwa na hata kuchepukwa na wake au wachumba zao bila hata hofu yoyote hii ikipelekea familia nyingi au ndoa nyingi kuvunjika na nyingine kuishi bila amani na raha.

    Mwanamke/mwanaume au Binti au kijana unaesoma huu ujumbe husikubali mtu ambaye unamalengo naye kumpoteza hivi na wakati Kwa mwanaume tunatafuta Ili familia zetu zifurahi na mwanamke unaishi Ili kulitunza nyumba au watoto wako.

    Kimekuwa na watoto wengi mitaani kisa wababa kukimbia familia na wamama sikuhizi kukimbia mpaka watoto kwanini usumbuke Dokta Mdiro nakuletea dawa ya KUMTULIZA mme/MKE/mchumba/ au umpendae dawa hii ni tofauti na Limbwata na Haina madhara katika Afya ya akili wana mizunguko ya kilasiku Kwa mhusika
    Dawa hii ya ZIKA HABA Itamfanya umpendae
    AKUPENDE
    AKUSIMILIZE
    AKUHESHIMU
    ASICHEPUKE
    KUKUFANYA KUWA WA KWANZA KWAKE
    Muweze kupanfa mambo yenu na kutimiza mambo yenu ya kimaisha

    Siku zote kumbuka DOKTA MDIRO anatoa huduma kama kusafisha nyota, kusuluhisha migororo ya ndoa, mahusiano, mapenzi na familia, kumfunga mume au mke asitoke nje ya ndoa, anatoa tiba kwa wanaotafuta watoto Mali na Ndagu.

    Vilevile anatoa huduma ya kukusaidia kupata kazi au ajira, kupandishwa cheo na mshahara kazini, kuwasaidia wenye urahibu wa dawa za kulevya, sigara na pombe, kwa wanaotafuta mume au mke pia anawasaidia tena ndani ya siku chache.

    Anatibu magonjwa kama kisukari, msukumo wa damu (BP), upungufu wa nguvu za kiume, miguu kuwaka moto n.k, pia anaweza kuisadia biashara yako kunawiri, na huduma zote hizi unaweza kuzipata bila kufika ofisini kwake.

    Basi chukua hatua ya kuwasiliana na DOKTA MDIRO
    CALL/WHATSUP
    +255 742162843

    ReplyDelete

 

Sample text

Sample Text

Sample Text