Social Icons

Pages

Friday, October 7, 2011

Weekend Shopping

Heee.. Si nilisahau.... I know kabisa kua women ndo hua tunafanyia our children shopping zaidi ya kina baba.. So if unahitaji vitu kwa ajili ya your child basi usisahau kupitia Mini Argos - hata kama ni window shopping wakati unajiandaa andaa kutafuta some cash ili uvirudie hivyo vitu...
Mini Argos wameleta mzigo mpya and by the way its a show ambalo lina deal zaidi na children and a little bit - women...


Kwa ajili ya new born - bibs, shawl, shoes nk



Mafuta na powder for the baby



Toys, bakuli, sahani na water bottles za different characters.. Mwanao hajawahi kukuomba umnunulie sahani ya Ben 10, mwavuli wa Barbie, Lunch box ya Hanna Montana... Haya kazi kwako!!!



Haya tooth paste, shower gel na miswaki ya kumwaga - za characters tofauti. Whichever your child loves.


Mabegi... iCarly, Cars, Spiderman, Hanna Montana, Tinka Bell, Ben 10, Barbie, Princesses nk




Tshirt za watoto wa kiume....
Na wipes...



Swimming costume for boys and girls, towels....



Story books... Pencils, rubber, sets nk...



Chupa za Maziwa za kweli....





Wamama hatujasahauliwa.. Bracelets, bangles, earings, lip gloss nk



Duka linapatikana Msasani - Kimweri Road Karibu na Tirdo.
Au wapigie simu kwa maelezo zaidi - 0713 267267 au 0787 267267

Be blessed...
xoxo

3 comments:

  1. i like ur blog Barbra....is so educative

    ReplyDelete
  2. Liκe my Best students, thοugh, shе also chаllenges me, shе'd percentage her experience of tantric massage with the existence Extraneous, and she happily agreed. people should also be in lax fitting wearing apparel or eyes as I channeled tantric massage during these recitation sessions. It has allowed me to diferen?a nesse caso seja a propina mesmo, vai cavalry sword... Yaksh Dammar Tantric Massage her to experience a salmagundi of different carnal sensations and slackening that entirely you have the office to give her.

    Here is my web site - tantra london

    ReplyDelete
  3. KUMTULIZA MKE/MME WAKO MTIMIZE MALENGO YENU.

    ASALAAM WAALAYKUM/ HABARI ZENU NYOTE

    LEO natoa somo Kwa ufupi sana kuhusu mahusiano,
    Kila mtu ana haki ya kupendwa pia kupenda kulingana na mzunguko na harakati za maisha watu wengi wamejikuta aidha kwa wanaume na wanawake wote Kwa ujumla kudharauliwa, kuteswa, kunyimwa unyumba, kupuuzwa na hata kuchepukwa na wake au wachumba zao bila hata hofu yoyote hii ikipelekea familia nyingi au ndoa nyingi kuvunjika na nyingine kuishi bila amani na raha.

    Mwanamke/mwanaume au Binti au kijana unaesoma huu ujumbe husikubali mtu ambaye unamalengo naye kumpoteza hivi na wakati Kwa mwanaume tunatafuta Ili familia zetu zifurahi na mwanamke unaishi Ili kulitunza nyumba au watoto wako.

    Kimekuwa na watoto wengi mitaani kisa wababa kukimbia familia na wamama sikuhizi kukimbia mpaka watoto kwanini usumbuke Dokta Mdiro nakuletea dawa ya KUMTULIZA mme/MKE/mchumba/ au umpendae dawa hii ni tofauti na Limbwata na Haina madhara katika Afya ya akili wana mizunguko ya kilasiku Kwa mhusika
    Dawa hii ya ZIKA HABA Itamfanya umpendae
    AKUPENDE
    AKUSIMILIZE
    AKUHESHIMU
    ASICHEPUKE
    KUKUFANYA KUWA WA KWANZA KWAKE
    Muweze kupanfa mambo yenu na kutimiza mambo yenu ya kimaisha

    Siku zote kumbuka DOKTA MDIRO anatoa huduma kama kusafisha nyota, kusuluhisha migororo ya ndoa, mahusiano, mapenzi na familia, kumfunga mume au mke asitoke nje ya ndoa, anatoa tiba kwa wanaotafuta watoto Mali na Ndagu.

    Vilevile anatoa huduma ya kukusaidia kupata kazi au ajira, kupandishwa cheo na mshahara kazini, kuwasaidia wenye urahibu wa dawa za kulevya, sigara na pombe, kwa wanaotafuta mume au mke pia anawasaidia tena ndani ya siku chache.

    Anatibu magonjwa kama kisukari, msukumo wa damu (BP), upungufu wa nguvu za kiume, miguu kuwaka moto n.k, pia anaweza kuisadia biashara yako kunawiri, na huduma zote hizi unaweza kuzipata bila kufika ofisini kwake.

    Basi chukua hatua ya kuwasiliana na DOKTA MDIRO
    CALL/WHATSUP
    +255 742162843

    ReplyDelete

 

Sample text

Sample Text

Sample Text