Hellow beautiful people,
You good? Weekend nilipata kuangalia movie inaitwa 35 and Ticking...
This pushed me kuangalia maisha ya wanawake wenzangu tofauti. Ujue it's soo easy for us kupoint fingers na kusema - yule mbona hajaolewa hadi now, anasubiri nini? Anajali sana about career na kuweka mapenzi pembeni? Yule mbona hazai... nk..
Society kwa ujumla inatufanya sisi kama wanawake sometimes kujichukia na kupata depression ya hali ya juu because of what they expect us to do kwa muda flani. Kwani kuna sehemu tunaambiwa wanawake tuwe tumeolewa by miaka mingapi, au tuwe tumeshapata watoto kabla ya kufikia miaka flani? Aaah this thing hua inanichanganya sana.
My point is - pindi unapokua umechagua au kujiwekea your own goals in life - labda umejiwekea kuwa you wont get married hadi upate Masters ya whatever... Ila watu wa nje wanaanza kukusema - Ooh doesnt she hear the biological clock ticking. Jamaniii.. Watu wana malengoooo.. Hehhehe.. Ila kweli inaboa.
Basi na wewe mwanamke mwenzangu when you hear people talking about you unapanic! Unatafuta bwana kwa haraka au unaanza mambo ya online dating ( who said that works anyway) Unaishia kupata mtu ambaye haeleweki coz kwa ajili ya haraka unakua unamfahamu kijuu juu tu. Mukishaoana au after kufika mbali in the relationship anaanza kukuonyesha vimbwanga! Unajutaje! Tena hao wa kukutana through the internet unakuta kasema yeye ni mwembama (kumbe mnene), hana kazi (very successful) etc...
Hahhaha That's another topic for another day...
Kwa hili la leo.. Nipe comment zako - Labda mi sjui kama kuna a certain age ambayo wanawake tunatakiwa tuwe tumeolewa au kuondoka home kwa wazazi au kupata watoto. Kama unafahamu please tuhabarishe.
Advice from me..
Live your life - in the process - achieve your goals. Ukisikiliza sana watu you wont get anywhere.Be you and do what YOU love. Don't let peer pressure choose your life path. Love yourself.
xoxo
Have a lovely day
ps... Contact me - barbshassan@gmail.com
sms - 0759 008500
Subscribe to:
Post Comments (Atom)



CHUMA ULETE YA CHUNGU
ReplyDeleteKwanza CHUMA ulete Ni nini?
Ni dawa ambayo utengenezwa kwa mkusanyiko wa utaratibu Fulani unaofanyika kwa pamoja kwa mlengo wa uvutaji au uvunaji wa fedha kutoka sehemu tofauti au mbalimbali.
(Kwa uhitaji wa NDAGU AU JIHNI WA MALI AU FEDHA NA KINGA YA MWILI NA MALI KWA UJUMLA NIPIGIE SIMU MOJA KWA MOJA DOKTA MDIRO +255 742162843 KWA MAELEKEZO HATA KAMA UKIWA MBALI MALIPO NI BAADA YA MAFANIKIO).
CHUMA ulete katika utengenezwaji hutumika jini anayeitwa GHUUL ambae uleta au uvuta fedha kimazingala kutoka sehemu mbalimbali kwa utaratibu maalumu. CHUMA ulete zipo Aina nyingi Ila leo nitazungumzia CHUMA ulete mdogo ya CHUNGU.
Chuma uleteee ndogo ya chungu ambayoo inaluka na kwenda kukusanya pesa sehemu mbali mbali inavuta pesa ndanii .
Hii chakula chake ni udi tuu na unaweza kunuwiza ukachagua ukaomba ikuletee pesa za aina gani wewe utachaguwa kama unavyoona hapo kwenye picha hii ni chuma uleteee ndogo mtu yeyotee anaweza kutengenezewa hata kama huna biashala pia hata Kama upo mbali kikubwa tu uwe na uwezo wa kutunza sili. Vile vileee hii inadumu miaka 5 itakubidii uludi kuja kutengeneza upya kafara ya damu ya kuku mwekunduu inatakiwa kila baada ya miezi 3.
Tafuta chungu kama icho kwenye picha fanya duwa maalumu ambayo nitakupatia na tafuta udi Aina ya sain frola, metrofrolla au metromillan na kitambaa cheupe pia chumba kisafi kwa ajili ya ibada hiyo.
Kumbuka hii ni chuma uleteee ndogo ya chungu hutakiwi kutoaa sili ya jini huyu na ufalume wa jini huyu maana utavunja miiko na maagano ya Jambo Hilo.
Angalizo Piga simu kuepuka MATAPELI pia kwa maelekezo zaidi husifanye jambo hili bila maelekezo KAMILI.
DOKTA MDIRO
Call/whatsup +255 742162843
KUMTULIZA MKE/MME WAKO MTIMIZE MALENGO YENU.
ReplyDeleteASALAAM WAALAYKUM/ HABARI ZENU NYOTE
LEO natoa somo Kwa ufupi sana kuhusu mahusiano,
Kila mtu ana haki ya kupendwa pia kupenda kulingana na mzunguko na harakati za maisha watu wengi wamejikuta aidha kwa wanaume na wanawake wote Kwa ujumla kudharauliwa, kuteswa, kunyimwa unyumba, kupuuzwa na hata kuchepukwa na wake au wachumba zao bila hata hofu yoyote hii ikipelekea familia nyingi au ndoa nyingi kuvunjika na nyingine kuishi bila amani na raha.
Mwanamke/mwanaume au Binti au kijana unaesoma huu ujumbe husikubali mtu ambaye unamalengo naye kumpoteza hivi na wakati Kwa mwanaume tunatafuta Ili familia zetu zifurahi na mwanamke unaishi Ili kulitunza nyumba au watoto wako.
Kimekuwa na watoto wengi mitaani kisa wababa kukimbia familia na wamama sikuhizi kukimbia mpaka watoto kwanini usumbuke Dokta Mdiro nakuletea dawa ya KUMTULIZA mme/MKE/mchumba/ au umpendae dawa hii ni tofauti na Limbwata na Haina madhara katika Afya ya akili wana mizunguko ya kilasiku Kwa mhusika
Dawa hii ya ZIKA HABA Itamfanya umpendae
AKUPENDE
AKUSIMILIZE
AKUHESHIMU
ASICHEPUKE
KUKUFANYA KUWA WA KWANZA KWAKE
Muweze kupanfa mambo yenu na kutimiza mambo yenu ya kimaisha
Siku zote kumbuka DOKTA MDIRO anatoa huduma kama kusafisha nyota, kusuluhisha migororo ya ndoa, mahusiano, mapenzi na familia, kumfunga mume au mke asitoke nje ya ndoa, anatoa tiba kwa wanaotafuta watoto Mali na Ndagu.
Vilevile anatoa huduma ya kukusaidia kupata kazi au ajira, kupandishwa cheo na mshahara kazini, kuwasaidia wenye urahibu wa dawa za kulevya, sigara na pombe, kwa wanaotafuta mume au mke pia anawasaidia tena ndani ya siku chache.
Anatibu magonjwa kama kisukari, msukumo wa damu (BP), upungufu wa nguvu za kiume, miguu kuwaka moto n.k, pia anaweza kuisadia biashara yako kunawiri, na huduma zote hizi unaweza kuzipata bila kufika ofisini kwake.
Basi chukua hatua ya kuwasiliana na DOKTA MDIRO
CALL/WHATSUP
+255 742162843